Nina miaka 32, nishaanza kupuuza kufanya mapenzi. Je, hii ni kawaida?

She is not receptive

Ili uwaze sex na upende kufanya mara nyingi nyingi,mke ana husika kwa 70% km mke amekaa kaa km dada ako mawazo ni either yatahamia kwa maendeleo au michepuko.Kwa case yako mawazo umeyapeleka kwenye vitu vya maana.
Mwanamke ndo anahamasisha sex kwa mwanaume siku zote iwe bar kwa vimini,iwe kanisani kwa vimini,iwe kazini kuacha kifua wazi, iwe kwenye ndoa kwa kuvaa nguo za mitego mbele ya mumewe.Sasa mwanamke asipofanya hili jukumu lake kubwa ambalo wanawake zetu wanalisahau punde tu ukimuoa.Mkiwa wachumba atalifanya mpk utashangaa mkioana hicho ndo cha kwanza anaacha kufanya.

Jukumu kubwa analofanya mwanamke bila kujua akishaolewa tu ni kuua sex life ya ndoa na libido ya mwanaume.Kimbembe kinaanziaga hapa.

At the end,Ndoa inaanza kuwa ngumu hapa maana hata huo umuhimu wa kuoa unaanza kuona Haupo.
Sasa mwanaume ukiweza kuona umuhimu wa kuoa bila kuangalia sex nadhani umefaulu mtihani wa kuishi na mwanamke kwa 50%.Ukishindwa kuna mambo utafanya unaweza kuanza kumpiga mkeo kwa sababu za kijinga au kumdharau na kuona hana mchango kwenye maisha yako,kumuona mzigo,kuona umekosea kuoa,kuchepuka,kutafuta maendeleo kwa pupa ili usahau ukweli kwamba upo kwenye no-sex marriage au ndoa isiyo na manufaa kwa mwanaume/ndoa ya kumtesa mwanaume na kumfanya afe mapema.

Mara nyingi hata uwezo wa kumpiga mkeo zaidi ya bao moja unaanzaga kupungua.Nje unaweza kupiga bao nne ila ndani mkeo hata hilo bao moja unapiga basi.Hata kumuandaa unaona unapoteza mda maana amekuwa km dada ako vile yupo yupo hatamanishi na hawazi kukutamanisha.Sasa hapa upate mchepuko wenye madoido na high libido aisee usipokuwa exposure nzuri na wanawake unaweza kumtimua mkeo au kutelekeza familia.Atakuwa amelogwa yule HAPANA hajalogwa

Men express love through sex.Kwenye kitchen party utasikia wanashauriana mumewe akitaka sex we mpe asubuh,mchana,jioni we mpe tu.Uwaga hawajui moja kwa moja kwanini but deep down bila enough sex mwanaume hajui ku handle mwanamke .

Malaya wanakupa good sex hlf wanaomba wafunguliwe biashara na kweli mwanaume anajikuta katoa mpunga wa kutosha,wife hataki hata kuguswa paja
Point tupu
 
She is not receptive

Ili uwaze sex na upende kufanya mara nyingi nyingi,mke ana husika kwa 70% km mke amekaa kaa km dada ako mawazo ni either yatahamia kwa maendeleo au michepuko.Kwa case yako mawazo umeyapeleka kwenye vitu vya maana.
Mwanamke ndo anahamasisha sex kwa mwanaume siku zote iwe bar kwa vimini,iwe kanisani kwa vimini,iwe kazini kuacha kifua wazi, iwe kwenye ndoa kwa kuvaa nguo za mitego mbele ya mumewe.Sasa mwanamke asipofanya hili jukumu lake kubwa ambalo wanawake zetu wanalisahau punde tu ukimuoa.Mkiwa wachumba atalifanya mpk utashangaa mkioana hicho ndo cha kwanza anaacha kufanya.

Jukumu kubwa analofanya mwanamke bila kujua akishaolewa tu ni kuua sex life ya ndoa na libido ya mwanaume.Kimbembe kinaanziaga hapa.

At the end,Ndoa inaanza kuwa ngumu hapa maana hata huo umuhimu wa kuoa unaanza kuona Haupo.
Sasa mwanaume ukiweza kuona umuhimu wa kuoa bila kuangalia sex nadhani umefaulu mtihani wa kuishi na mwanamke kwa 50%.Ukishindwa kuna mambo utafanya unaweza kuanza kumpiga mkeo kwa sababu za kijinga au kumdharau na kuona hana mchango kwenye maisha yako,kumuona mzigo,kuona umekosea kuoa,kuchepuka,kutafuta maendeleo kwa pupa ili usahau ukweli kwamba upo kwenye no-sex marriage au ndoa isiyo na manufaa kwa mwanaume/ndoa ya kumtesa mwanaume na kumfanya afe mapema.

Mara nyingi hata uwezo wa kumpiga mkeo zaidi ya bao moja unaanzaga kupungua.Nje unaweza kupiga bao nne ila ndani mkeo hata hilo bao moja unapiga basi.Hata kumuandaa unaona unapoteza mda maana amekuwa km dada ako vile yupo yupo hatamanishi na hawazi kukutamanisha.Sasa hapa upate mchepuko wenye madoido na high libido aisee usipokuwa exposure nzuri na wanawake unaweza kumtimua mkeo au kutelekeza familia.Atakuwa amelogwa yule HAPANA hajalogwa

Men express love through sex.Kwenye kitchen party utasikia wanashauriana mumewe akitaka sex we mpe asubuh,mchana,jioni we mpe tu.Uwaga hawajui moja kwa moja kwanini but deep down bila enough sex mwanaume hajui ku handle mwanamke .

Malaya wanakupa good sex hlf wanaomba wafunguliwe biashara na kweli mwanaume anajikuta katoa mpunga wa kutosha,wife hataki hata kuguswa paja
Jamiiforums watu kama wewe mpo wengi sana, mna ugonjwa wa kusoma vichwa vya habari na kurukia ku comment ama kusoma paragraph ya kwanza tu mje ku comment.

Soma upya na uelewe post, Ni wapi nimeandika perfomance yangu imeshuka??
 
Age mate umewahi mno majukumu ndugu
😃😃 Tupo tofauti

Wenzangu wengi sana bado wanakula bia, wanabadili warembo, hawajaoa, wamekataa watoto, n.k

Wengine tunawaza maendeleo, ninajiwekeza leo ili kesho iwe na ahueni.

Nadhani vijana wengi wa kitz wanaona sex ni kitu ambacho inabidi kiwe ni kipaumbele namba moja na matokeo yale huwa sio mazuri kwa wengi.

Mbaya vijana wengi wamegeuka wehu, yaani mtu anapoteza muda na pesa kula mihogo, vipande vya nazi, karanga, maziwa ya mgando, mchuzi wa pweza, akipiga show dakika 10 tu lwisha habari yake 😂😂 na hao mara nyingi wanakuwa hawajaoa wao ni kuzini tu.

Mi sahizi kupafomu napafomu kama kawa na wife nampa haki yake, ila tu ni kwamba kwa sasa nguvu ya mawazo ya maendeleo imeizidi nguvu ya mawazo ya ngono.

Zamani pia nilikuwa mbinafsi sana, nikiwa na vinyege tu namrukia wife fasta hata kama hajajiandaa, pia nilikuwa nampuuza wife, akisema nipunguze speed twende taratibu mi nlikuwa naongeza speed, kwa sasa namhudumia vizuri nmeacha ubinafsi.
 
Jamiiforums watu kama wewe mpo wengi sana, mna ugonjwa wa kusoma vichwa vya habari na kurukia ku comment ama kusoma paragraph ya kwanza tu mje ku comment.

Soma upya na uelewe post, Ni wapi nimeandika perfomance yangu imeshuka??

Hahaha sasa mimi nimeandika wapi yako imeshuka kwenye comment yangu

Hahaha kaka au imeshuka kweli???

Mi nimeandika overview ya scenario za namna hiyo yako

Km una defend hadi fake identity kwa nguvu Zote kwamba unaogopa watu wasiokujua watu una under perform
 
A moment of silence for another fallen soldier....matatizo ya nguvu za kiume huwa yanaanza hivyo, wahi katika kituo cha afya ndugu yangu
images (53).jpeg
 
A moment of silence for another fallen soldier....matatizo ya nguvu za kiume huwa yanaanza hivyo, wahi katika kituo cha afya ndugu yanguView attachment 1817500
Mkuu wewe naona umeandika ukiwa shahidi kabisa wa hii ishu, pole kwa kukosa nguvu za kiume mkuu, Kwa jina la id yako "canabis" maana yake ni bangi, nna uhakika wa kiwango cha juu nguvu zako zimepungua kwasababu ya mbegu za bangi, zile mbegu huwa zinafanya uume uwe legevu, Pole sana.

Wengine bado tunadunda, moto ni ule ule ila akili imechomoa ngono kwenye vipaumbele
 
😃😃 Tupo tofauti

Wenzangu wengi sana bado wanakula bia, wanabadili warembo, hawajaoa, wamekataa watoto, n.k

Wengine tunawaza maendeleo, ninajiwekeza leo ili kesho iwe na ahueni.

Nadhani vijana wengi wa kitz wanaona sex ni kitu ambacho inabidi kiwe ni kipaumbele namba moja na matokeo yale huwa sio mazuri kwa wengi.

Mbaya vijana wengi wamegeuka wehu, yaani mtu anapoteza muda na pesa kula mihogo, vipande vya nazi, karanga, maziwa ya mgando, mchuzi wa pweza, akipiga show dakika 10 tu lwisha habari yake 😂😂 na hao mara nyingi wanakuwa hawajaoa wao ni kuzini tu.

Mi sahizi kupafomu napafomu kama kawa na wife nampa haki yake, ila tu ni kwamba kwa sasa nguvu ya mawazo ya maendeleo imeizidi nguvu ya mawazo ya ngono.

Zamani pia nilikuwa mbinafsi sana, nikiwa na vinyege tu namrukia wife fasta hata kama hajajiandaa, pia nilikuwa nampuuza wife, akisema nipunguze speed twende taratibu mi nlikuwa naongeza speed, kwa sasa namhudumia vizuri nmeacha ubinafsi.
Vizuri,just keep it up man
 
Kama una mpango wa kuoa na kuzaa angalia watoto wako wasije kukuita babu.
Halafu sperms zikakosa nguvu ukaja kusaidiwa kutia mimba uje ufungue uzi to humu.
Ngozi nyeusi akili yetu ipo kwenye kuzaa tu.
Bro dunia inakimbia sanaa "tafuta maisha" unataka kuzaa ili baadae waje wakulaumu...
Wazungu hupata watoto umri wowotee wautakao, sisi akili zetu ni kuzaa tu ndio maana tunatawaliwa.

#YNWA
 
Kama Mimi tu yani siku hizi sinaga kabisa time na masuala ya mademu,Nina michepuko 5 lakini sina hata mzuka nao naweza kuwapanga kukutana kila mmoja kwa wakati wake lakini at the end of time naghairisha,siku za nyuma nilikuwa nahusudu sana ngono ,ila kwa sasa naona sio inshu kwangu,wife tangu nimtie mimba ya tatu na kujifungua mtoto wa 3 sina hata mzuka nae ,akili yangu inawaza namna ya ku-make life gud, nikiwa na hamu napiga Nyeto nimetoka hiyo ,kwangu kwa sasa mapenzi sio kipaumbele hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ni mm kabisa
 
She is not receptive

Ili uwaze sex na upende kufanya mara nyingi nyingi,mke ana husika kwa 70% km mke amekaa kaa km dada ako mawazo ni either yatahamia kwa maendeleo au michepuko.Kwa case yako mawazo umeyapeleka kwenye vitu vya maana.
Mwanamke ndo anahamasisha sex kwa mwanaume siku zote iwe bar kwa vimini,iwe kanisani kwa vimini,iwe kazini kuacha kifua wazi, iwe kwenye ndoa kwa kuvaa nguo za mitego mbele ya mumewe.Sasa mwanamke asipofanya hili jukumu lake kubwa ambalo wanawake zetu wanalisahau punde tu ukimuoa.Mkiwa wachumba atalifanya mpk utashangaa mkioana hicho ndo cha kwanza anaacha kufanya.

Jukumu kubwa analofanya mwanamke bila kujua akishaolewa tu ni kuua sex life ya ndoa na libido ya mwanaume.Kimbembe kinaanziaga hapa.

At the end,Ndoa inaanza kuwa ngumu hapa maana hata huo umuhimu wa kuoa unaanza kuona Haupo.
Sasa mwanaume ukiweza kuona umuhimu wa kuoa bila kuangalia sex nadhani umefaulu mtihani wa kuishi na mwanamke kwa 50%.Ukishindwa kuna mambo utafanya unaweza kuanza kumpiga mkeo kwa sababu za kijinga au kumdharau na kuona hana mchango kwenye maisha yako,kumuona mzigo,kuona umekosea kuoa,kuchepuka,kutafuta maendeleo kwa pupa ili usahau ukweli kwamba upo kwenye no-sex marriage au ndoa isiyo na manufaa kwa mwanaume/ndoa ya kumtesa mwanaume na kumfanya afe mapema.

Mara nyingi hata uwezo wa kumpiga mkeo zaidi ya bao moja unaanzaga kupungua.Nje unaweza kupiga bao nne ila ndani mkeo hata hilo bao moja unapiga basi.Hata kumuandaa unaona unapoteza mda maana amekuwa km dada ako vile yupo yupo hatamanishi na hawazi kukutamanisha.Sasa hapa upate mchepuko wenye madoido na high libido aisee usipokuwa exposure nzuri na wanawake unaweza kumtimua mkeo au kutelekeza familia.Atakuwa amelogwa yule HAPANA hajalogwa

Men express love through sex.Kwenye kitchen party utasikia wanashauriana mumewe akitaka sex we mpe asubuh,mchana,jioni we mpe tu.Uwaga hawajui moja kwa moja kwanini but deep down bila enough sex mwanaume hajui ku handle mwanamke .

Malaya wanakupa good sex hlf wanaomba wafunguliwe biashara na kweli mwanaume anajikuta katoa mpunga wa kutosha,wife hataki hata kuguswa paja
Acha kunisema..
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom