Nina miaka 30 sina mtoto

Nina miaka 30 sina mtoto

mwanaume usiwe na hofu wewe unaweza pachika mimba mabinti watano so ukapata watoto watano ndani ya mwaka ila mwanamke akiwa 30 hana mtoto ajitafakari sana
 
Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...

Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.

Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Brother zangu walipata watoto na juu ya miaka 30 mmoja alipata akiwa na miaka 32 mimi Nina 27 now ila wazo la kuwa na mtot hata sina nafikiria mpaka niwe na 30 au 33
 
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini

Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.
Utapata tu mwenye akili ila adabu huwez kuipata
 
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini

Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.
una umri gani? Ila kweli mademu wengi akili tatizo
 
Tanzania ni ngum mno...
Mtu apaka akuelewe umtafunie kwelikweli.

Mtoto ni baraka sio wote tumebarikiwa..

Na nikihitaji kuna watoto wengi hawana wazazi wanahitaji mtu wa kumwita baba na mama,wanahitaji upendo sio lazima niwe biological father.

Ila kwa sasa sihitaji nitaishi hivi.
Umeeleweka mkuu
 
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini

Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34.
[kumtolea mfano RIRI unaenda mbali sana. Hapa Kwetu DC kidoti ana 30+ hana mtt wala mume na hana presha]
 
Back
Top Bottom