Nina miaka 30 sina mtoto

Nina miaka 30 sina mtoto

Dah!..kwa hali hiyo pesa zako ndio zitaoa sio wewe, maana ukipigika tu huna mke.
Mkuu

Naona umechukulia juu juu sana

Ni jukumu lako tangu unamaliza chuo kikuu,kujenga supporting system ya your future family

Unaongelea "pesa" kama makaratasi vile....Yaani pesa unaitafuta kujenga mfumo wa family suppport system ili ukiwa na familia kuwe na mfumo imara wa family kusurvive!

Yaani basic needs kama accomodation,food,medical,school,etc ziwe giuaranteed no matter what transpires...

Sasa wewe badala ya kujenga system kwanza,ili sasa ndio uoe halafu uanze ku-operate kwenye hiyo system...wewe unakimbilia kuvua kondom na kuzalisha na kuoa,halafu huna smart system to support yourself and the family members!

Kwa Africa ili uwe na system kamili inayojiendesha yenyewe ya kusupport modern family existence ni lazima uwe na 34yrs and above on average

Otherwise unajidanganya

Upendo haulipi bills....upendo haulipi school fees za mamilioni ya pesa....upendo hausaidii familia ukivunjika miguu leo

Proper support system makes family function properly....otherwise hakuna rangi mtaacha ona!

Unaoa mapema inaonesha huna kazi za kufanya....

I dont trust family decisions done by anyone below 30yrs old.....


Tena below 25yrs old ni outright nonsense
 
Kuna ndugu yetu ye kaanza na miaka 35 ila anavyofyatua nje na ndani .Mpaka baba yake kamuweka kikao asimamishe ufyatuaji.Hujachelewa wala haujawahi.Simu ni moja tu tukutane benki.
 
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini

Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.
Mkuu mbona kama tunafanana.....japo mimi kuna mtoto nasingiziwa yuko mara huko
 
Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...

Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.

Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Sasa sie wenye 42 tutasemaje?
Wee unakosaje mwanamke wakizaa nae?
 
Wakumpandia pandia akikaa sebleni 🤪
imenilazima nicheke kwa sauti

miaka ya nyuma kidooogo kama sio tisini basi ni themanini naa jamaa langu tuko baa moja maarufu kipindi hicho akaanza kulia
alipoulizwa akasema minguo yake inanukia ma peremende tuu hakuna hata harufu ya mkojo wa mtoto.
aliongea kwa hisia saaana
 
Niko 34 na sina mtoto wala mke, sijuti wala sinung'uniki..

Familia zimashaanza kuchongoa mdomo wanataka mjukuu..

Mtoto ni baraka, sio wote tutabarikiwa.

So hata sijali.
 
Umri wako mbn mdogo tu kijana ungekuwa umefika 35 kweli
Mm Baba yangu alipata mtoto wa kwanza akiwa na 32

Cha msingi weka goals
Tafuta pesa kwa bidii zote
ongea vzur na wanawake, watakuzalia tu
 
Niko 34 na sina mtoto wala mke, sijuti wala sinung'uniki..

Familia zimashaanza kuchongoa mdomo wanataka mjukuu..

Mtoto ni baraka, sio wote tutabarikiwa.

So hata sijali.
Tafuta mtoto boss, usipuuze
 
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini

Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.
Akili kweli muhimu mkuu endelea kutafuta
 
Siyo kweli. Jitahidi usivuke 35 bila mtoto.

Meanwhile nenda hospitali ukafanye vipimo ujue afya yako ya uzazi. Bado una muda!
 
Back
Top Bottom