Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,169
Whom?He Is not a good partner?
Whom?He Is not a good partner?
To yeye means to him. So I mean HIM😜Whom?
Ila wewWe akili unazo ?usije kukesha unatafuta mwenye akili kumbe shida ni weye ndiyo huna akili
![]()


uBora yeye! Mi ni na 33 na sina mtotoAcha presha mkuu, hayo mambo sijui mnakaririshwaga na nani?
Mimi nina 29 ila sina mtoto...ni mipango tu as long as huna tatizo lolote kiafya.
😂😂 imeisha hiyo dadaTo yeye means to him.So I mean HIM😜
Tatizo jamaa ni muoga sana...Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma
Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini
Siku hizi wadada wamekuwa pasua kichwa.Mimi Amadala naamini ungeoa kwanza mtoto angepatikana.
Bro ukute wewe ndio huna Akili, ukiona Mwanamke wa kwanza mpaka wa tatu we unaona Hana Akili Basi tatizo Ni wewe.Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini
Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.
Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...
Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.
Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.