Chukua ramani ya mzee wako ,isome vzuri alipopitianaumia sana sijui nmekosea wapi mimi miaka 30 sina ramani



Dunia ina mabaya yake kweli tena sana, ila kumnyima mtoto familia nikuongezea ubaya kwenye mabaya, maisha ni imani, Imani ni kufumba macho.sijawahi kuwa na mpango kuoa tangu nilipoitambua dunia kwa ufasah
Chukua ramani ya mzee wako ,isome vzuri alipopitia![]()






Mwataka kuonekana modern and civilised eti

Tatizo kirefu sana Kwa nyuma😶naumia sana sijui nmekosea wapi mimi miaka 30 sina ramani
Life isn’t fair 🤣somewhere kuna mtu ako na kama yako with 4kidsBora yeye! Mi ni na 33 na sina mtoto
Mayai yatasinyaaaI’m 31, nategemea kuzaa at 41( ten years to come)
Unahofia nn tatizk umaskini ndo inasumbua eti watoto waje nisaidia au wasukuma. Mwanaume unakuwa na wasiwasi hata 40 unazaa ukiwa na pesa unaza kutoboa miaka 70 amini
Anyway Rihanna juzi kapata mtoto wake na anatimiza miaka 34 una wasiwasi gani mi mwenyewe sina mtoto kila kitu ninacho maana kila demu namuona hana akili mpaka nipate mwenye akili na adabu ndio ntazaa nae.


Mi smart mkubwa na najiheshimu siwezi kutembea na mchafu mawigi yananuka hajui kujipanga adabu hana hao ndo wamekosa akiliBro ukute wewe ndio huna Akili, ukiona Mwanamke wa kwanza mpaka wa tatu we unaona Hana Akili Basi tatizo Ni wewe.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Akili anazo lkn anakaujinga tu hajapata mwenyeakili anayeweza kumwondolea kaujinga kakeWe akili unazo?Usije kukesha unatafuta mwenye akili kumbe shida ni weye ndiyo huna akili
![]()
DuhMiaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...
Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.
Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Dah!..kwa hali hiyo pesa zako ndio zitaoa sio wewe, maana ukipigika tu huna mke.Duh
30 nayo ni mkubwa?
Acha masihara bana
Usizae mpaka above 35...
Tafuta hela,jenga,seti biashara zako sawasawa....kua tajiri..nunua magari...then tafuta mwanamke standard wa kwenu mwenye adabu zake na ukoo wake wako na rekodi nzuri then oa,zaa watoto wako lea vizuri
Trust me,wanawake hawaangalii kwenye cheti chako cha kuzaliwa kuna namba ngapi....wanataka nyumba ya familia,magari ya maana aendeshe..biashara zake za kuzuga na kulea watoto,waende shule za kizungu..chini ya hapo utateseka sana