Nina miaka 30 sina mtoto

Nina miaka 30 sina mtoto

Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...

Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.

Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Acha nichelewe tu, maana kama nitashindwa kuafford kuitunza familia yangu basi ni bora ingoje hadi pale nitakapofanikiwa kwanza.
 
Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...

Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata mwanamke wa kuzaa nae.

Kiasi kwamba hata nikipata mtoto tiyari nmechelewa, ukipata mtoto above 26 wewe umechelewa.
Kwa miaka hii, mwanaume kuchelewa ni bora zaidi kuliko kuwahi.

Ukiwahi labda uwe unatoka familia ya kishua sana. Na hata hiyo haitoshi. Unatakiwa kuwa na hekima ya malezi.

Umri mzuri kwa sasa kulingana na changamoto za malezi ya watoto mwanaume at least uwe na miaka kuanzia 30 kwenda juu. Hapo utakuwa baba kwa watoto. Ila chini ya hapo utaharibu watoto.
 
miaka 30 bila ramani wala mtoto, kataeni ila umri umeenda
 
Umasikini mbaya sana, yote hiyo ni kwakua huna pesa.
Na bahati mbaya zaidi umejikatia tamaa, ushaaminishwa above 26 si poa kua na mtoto.

Nachoamini ni ukiwa vizuri hata ukiwa na 40 unakua na mtoto tu kikubwa uwezo wa kumlea mpaka afike 18-20 unao.

Bado muda unao ndgu yangu usikatishwe tamaa, ukiwa na uwezo mzuri hata afya yako inaimarika hata uwe na 35 bado itaonekana kama una 25 tu.

Ila kwa kuhisi tu wewe una hiyo 30 na umezeeka tayari kwakua hujipendi na umejikatia tamaa.

Yaweza kuwa kweli Jamaa hajikubali!
 
Umasikini mbaya sana, yote hiyo ni kwakua huna pesa.
Na bahati mbaya zaidi umejikatia tamaa, ushaaminishwa above 26 si poa kua na mtoto.

Nachoamini ni ukiwa vizuri hata ukiwa na 40 unakua na mtoto tu kikubwa uwezo wa kumlea mpaka afike 18-20 unao.

Bado muda unao ndgu yangu usikatishwe tamaa, ukiwa na uwezo mzuri hata afya yako inaimarika hata uwe na 35 bado itaonekana kama una 25 tu.

Ila kwa kuhisi tu wewe una hiyo 30 na umezeeka tayari kwakua hujipendi na umejikatia tamaa.

Yaweza kuwa kweli Jamaa hajikubali!
 
Back
Top Bottom