Safiri safari ndefu utawaona bdbd waliogongwa maana siku hizi haipiti siku hawajapigwa na magari njianiyaani mimi huwa natazama tu kwambali sio kwamba ni uoga, hapana, yaani hata ikitokea msiba watu aanaaga Mimi huwa sishiriki kabisa kuaga nakaa zangu kando, sasa sijajua siku itakapo nitokea hali ya kuona maiti usoni kitanipata nini, sijawahi, sijawahi.
Unatamani vitu vya kipumbavuuuu!yaani mimi huwa natazama tu kwambali sio kwamba ni uoga, hapana, yaani hata ikitokea msiba watu aanaaga Mimi huwa sishiriki kabisa kuaga nakaa zangu kando, sasa sijajua siku itakapo nitokea hali ya kuona maiti usoni kitanipata nini, sijawahi, sijawahi.
Pole sana mkuu 😔Nikiwa na miaka 12+ nilishuhudia mwili wa mama yangu akiwa ameaga dunia.
Ni picha ninayo mpaka leo.
Aliniagiza sokoni nikamnunulie parachichi, nimerudi nakutaka ameaga dunia pembeni amelala na mdogo wangu!
Ni picha siisahau mpaka kesho.
Mimi nikeshuhudia sura mama ameondoka nikiwa na 12 years hiyo picha ninayo akili till today,huwa siangalii maiti,nakwenda naaga lakin napiga jicho pembeni,kuepuka kubaki na picha za marehemu akilin mwangu🙏Nikiwa na miaka 12+ nilishuhudia mwili wa mama yangu akiwa ameaga dunia.
Ni picha ninayo mpaka leo.
Aliniagiza sokoni nikamnunulie parachichi, nimerudi nakutaka ameaga dunia pembeni amelala na mdogo wangu!
Ni picha siisahau mpaka kesho.
Pole sana mkuu