Mimi nina maumivu makali, yawezekana kutokana na machungu niliyonayo yatasababisha nisimlie kwa mpangilio usio sahihi
Ilikuwa Mwaka 2019 mwezi wa 8 nikaenda Mitaa fulan ya Dar as salaam.
Nikaonana na binti mmoja ambaye alionekana mtulivu, ikafika hatua tukawa wote kwenye mahusiano.
Baada ya miezi 6 Nikamshawish akaacha kazi kutokana na kazi alokuwa akifanya isingempendeza Mungu.
Nikampatia mtaji si vema kutaja kiasi, lakini haikuwa kidogo.
Akanipigia bajet ya kufungua duka la mchele wa jumla, magunia ya kuanzia yalikuwa 100 yaan tan 10, nikampa kwanza asilimia 80 ya mtaji husika, tukaendelea vema.
Mwaka huu mwezi wa 8 tukapanga mambo mengi mpaka siku ya kufunga ndoa
Tukamtafuta mshenga na kwenda kwao, tukaambiwa kifungua mlango ni ndama wawili na kinywaji, nadhani unaelewa kabila fulani linatozaga mambo hayo kwa gharama, ndama mmoja alithaminiwa kwa 500,000 hivyo wawili na kinywaji wakapokea 1.1M
Akaja kunitembelea mkoani kwetu hasa kipindi cha korona ambacho nimekuwa Tanzania kwa muda.
Tukapanga siku ya kuondoka kuelekea napoishi (sitaji ) atakabidhi Biashara yake kwa dada yake mmoja ambaye anafanya kazi kwenye kampuni ambayo inaelekea kufilisika, sikujali sana maana niliona bora maana nitaenda naye.
Tukapigana akapata pass ya kusafiria nikamuombea Utaratibu wa Visa kwa kutumiwa supportive document kutoka sehemu husika tukaenda wote ubalozini.
Baadaa ya kupata Visa tukapanga kwamba twende kwao kutoa mahari ambapo walisema ng'ombe 6 na kondoo 4 , cret 4 za bia , nikasema ntatoa cash almost 4 m lakini ningeanza na 75% yake,
Nika organize na wazazi na mshenga twende mkoani kwake, tumefika mkoani kwake katoweka kwao siku moja kabla ya mahari na send off ndani ya week husika, akawa anapigiwa anasema siko tiyari kwa ndoa Jambo lililoniuma sana, tumeshafika na kuingia gharama.
Nimepata hasara sana hata harusi tuliyopanga ifanyike tukalazimika kuahirisha,
wanawake wanawake wanawake,
Ilipofikia nimejuta sana kutofuata ushauri wa wazazi juu ya kuoa mbali,
Kwa sasa nikiingia kusaka tena sitafanya kosa,
Sitaoa Kabila nisilojua kiundani
Sitachelewa sana nitatafuta mwingine haraka,
Sitapenda Single mother mana alikuwa na mtoto wa Kiume mmoja,
Mtanisamehe, sitaoa mwanamke aliyelelewa na upande mmoja wa mzazi hasa mama, maana msemaji wa family alilegea sana kutatua hili.
Sitao mwanamke ambaye ana dada zake ambao wamezalishwa nyumbani tu, maana ana dada zake wawili wamezalishwa pale pale,
Ilikuwa Mwaka 2019 mwezi wa 8 nikaenda Mitaa fulan ya Dar as salaam.
Nikaonana na binti mmoja ambaye alionekana mtulivu, ikafika hatua tukawa wote kwenye mahusiano.
Baada ya miezi 6 Nikamshawish akaacha kazi kutokana na kazi alokuwa akifanya isingempendeza Mungu.
Nikampatia mtaji si vema kutaja kiasi, lakini haikuwa kidogo.
Akanipigia bajet ya kufungua duka la mchele wa jumla, magunia ya kuanzia yalikuwa 100 yaan tan 10, nikampa kwanza asilimia 80 ya mtaji husika, tukaendelea vema.
Mwaka huu mwezi wa 8 tukapanga mambo mengi mpaka siku ya kufunga ndoa
Tukamtafuta mshenga na kwenda kwao, tukaambiwa kifungua mlango ni ndama wawili na kinywaji, nadhani unaelewa kabila fulani linatozaga mambo hayo kwa gharama, ndama mmoja alithaminiwa kwa 500,000 hivyo wawili na kinywaji wakapokea 1.1M
Akaja kunitembelea mkoani kwetu hasa kipindi cha korona ambacho nimekuwa Tanzania kwa muda.
Tukapanga siku ya kuondoka kuelekea napoishi (sitaji ) atakabidhi Biashara yake kwa dada yake mmoja ambaye anafanya kazi kwenye kampuni ambayo inaelekea kufilisika, sikujali sana maana niliona bora maana nitaenda naye.
Tukapigana akapata pass ya kusafiria nikamuombea Utaratibu wa Visa kwa kutumiwa supportive document kutoka sehemu husika tukaenda wote ubalozini.
Baadaa ya kupata Visa tukapanga kwamba twende kwao kutoa mahari ambapo walisema ng'ombe 6 na kondoo 4 , cret 4 za bia , nikasema ntatoa cash almost 4 m lakini ningeanza na 75% yake,
Nika organize na wazazi na mshenga twende mkoani kwake, tumefika mkoani kwake katoweka kwao siku moja kabla ya mahari na send off ndani ya week husika, akawa anapigiwa anasema siko tiyari kwa ndoa Jambo lililoniuma sana, tumeshafika na kuingia gharama.
Nimepata hasara sana hata harusi tuliyopanga ifanyike tukalazimika kuahirisha,
wanawake wanawake wanawake,
Ilipofikia nimejuta sana kutofuata ushauri wa wazazi juu ya kuoa mbali,
Kwa sasa nikiingia kusaka tena sitafanya kosa,
Sitaoa Kabila nisilojua kiundani
Sitachelewa sana nitatafuta mwingine haraka,
Sitapenda Single mother mana alikuwa na mtoto wa Kiume mmoja,
Mtanisamehe, sitaoa mwanamke aliyelelewa na upande mmoja wa mzazi hasa mama, maana msemaji wa family alilegea sana kutatua hili.
Sitao mwanamke ambaye ana dada zake ambao wamezalishwa nyumbani tu, maana ana dada zake wawili wamezalishwa pale pale,