Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Mtoa mada umevurugwa ila pole sana, maisha yana alternatives sasa naona zako zimeshindwa na umesalimu amri. Kama ni kodi lipa maana kodi za waajiriwa zilikuwa zinatujengea barabara, miundo mbinu ya maji usafi wa miji mda huo sisi wafanyabiashara tulikuwa tunapeta tena mbaya zaidi tunachukua wake za hawa jamaa tukijidai tuna hela. Watoa huduma katika mahospital na taasisi za serikali walikuwa wanajiamulia watoe huduma au mpk kesho kutwa ila sasa mambo yako sawa.
Kiujumla hakuna atakayeweza kufanya anayotaka yule, wewe au mimi zaidi ya Mungu pekee.
 
Haki huleta Amani, Upendo , mshukamano na Uzalendo katika jamii.
Jamani siasa huamua kula kitu katika maisha yetu, ujue siasa ndio inatunga sheria, inatupangia kodi, mishahara ya waajiriwa n.k
Ili tuendelee tuna hitaji siasa safi
 
Hili lijamaa linatuharibia Tanzania.

Ni wendawazimu tu ndio watakaomshabikia, hii taswira ndio itakayoonekana 2020.
Mkuu binadamu hatuishi kwa makundi ya mihemuko.
Chuki ni jambo la binafsi na ni la muda.
Chuki haikai sana kifuani mwa mtu, hasa ikitokea mtu huyo akarekebisha ambayo wewe hauyapendi na akafanya wewe umpende na kumsamehe.
Maana kukaa na kinyongo cha muda mrefu, hugeuka sumu ya kukudhuru mwenyewe na ndiyo maana madhehebu yanahubiri kusamehe.
Unapoxpress chuki jidhihirishe wewe mwenyewe bibafsi kwa kusema 'mimi' na siyo 'sisi'.
'Sisi' kwa kuexpress upendo na upendo ndiyo asili ya viumbe vyote..
Unayemchukia wewe, sisi tunampenda sana.
Siyo kumpenda tu, pia tunamuombea kwa Mungu ampe uhai ili aendelee kuservive long time.
Tumchukie kwa lipi hasa?
Tuliyekula magunia ya chumvi na wenye akili tulivu, tunaona huyu hasa ndiye, katika kupima matokeo ili kutoa marks, hatuwazi kwa jazba bali tunawaza kwa hekima ili kupima na kulinganisha nyakati tangia uhuru.
Matokeo yanatuonesha kwamba huyu ni 'good one' aina bora ya kigae cha kujengea na kuimarishia nyumba.
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa

Na bado utaisoma namba zaidi. Utajichukia kupita kiasi, kwa kuwa hujui kama hujui.
Siasa uliyoizoea siyo siasa ya karne hii ya TEHAMA.
Demokrasia unayoitaka, siyo demokrasia ya karne hii.
Uhuru unaoutaka, siyo uhuru nchi iliutaka.

MUNGU MWENYE UPENDO AKUONDOE TONGOTONGO ZA SIASA MFU.
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
MKUU WEWE UKO MBELE HUKO ..ENDELEA KUIFURAHIA DUNIA HILI LI TERMINATORWALA LISIKUOGOPESHE ...KAMA KILA JIWE LITASAGWA NA KUGEUKA MAVUMBI SASA KWANINI MTU KAMA HUYU AKUOGOPESHE NA KUKUFNYA UICHUKIE DUNIA ..MUDA NDIYE HAKIMU WA HAKI ..IPO SIKU UTAKUJA KUTOA HUKUMU YAKE ...

PUMBAVU SANA HUYU JAMAA KILA NYAKATI IMEKUWA YAMAJUTO TU MPKA SSA KWA WATANZANIA ...NAMCHUKIA MNOOO ASIEEEE
 
Ana roho mbaya kama hajazaliwa na mwanamke.watu watunguliwa yeye kimya kama hasikii
 
Ukiona Tanzania haukuwezi unahama nchi kama mimi
 
Tunashindana na wenye nguvu vitambi na mashavu,hakuna tena fair game referee kauzu..!
 
Mungu hajawahi kumwacha mdhalimu salama. Sala na jitihada majibu yatapatikana
 
CCM sherehekeeni ushindi wa damu kama fisi waliochafuka midomo kwa damu baada ya kumshambulia mwanadamu.
676ce96fa9036870fdbb2efdbd09a1fa.jpg
 
Sema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Ndivyo akili za baaadhi yenu ambao unawa represent wewe...mmepumbazwa kias kwamba mnaweza hata kutoa wake zenu au familiq zenu kafara sabab ya hiki chama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom