BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Naomba nkuulize ...Baba yako na mama.yako wapo hai ?Asiyefanya kazi afe tu! Utakuwa na matatizo ya kulawitiwa unadhani!!! Pole sana
Naomba nkuulize ...Baba yako na mama.yako wapo hai ?Asiyefanya kazi afe tu! Utakuwa na matatizo ya kulawitiwa unadhani!!! Pole sana
Hongera kwa kumpenda ...bila shaaka unasheherkea wanayoyafanya hata nafikri kifo cha yule mwanafunzi umekifurahiampende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Atakuwa changu mwenye madoa au changudoaaOoh, kumbe anaongoza hao uliowataja?
Sasa wewe ni ngisi au changu?
Dah....ukiamua kufa sasa hivi....halafu baada ya miaka 10 ukafufuka....utaona aibu sana utakavyoikuta nchi mpya.....hapo sasa ndipo utatamani kufa tena kwa aibu..kwa sababu utaona aibu ya kushare nchi mpya[emoji87]Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.
We have mutal feelingsMkuu tatizo ni hawa walamba mguu. Natamani hata kuwa mduguaji.
Ko mtu anaye pinga mauaji ni mpiga dili,kweli kukosa uelewa ndani kichwa ni ugonjwa,ko watu wafe.Sema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Dah.... Tatizo mnataka turudi kulekule...kwa mbinu zilezile zilizofanya tushindwe kwa zaidi ya miaka 50...ili muanze KUPIGA TENA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acheni upumbavu wenu
Nyie kila anaempinga huyu jamaa ni mpiga dili, Mtu anapinga watu kuuwawa unasema ni mpiga dili?
Shame on you.
Mkuu your are not alone. .huyu mtu namashaka hata na hyo shule yake.Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.
Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.
Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.
Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.
Tumechokaa
hamna mwanaume aliyekamilka mwenye 1200 zake anaweza mkubali huyu jamaampende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Dah...Labda mkuu tuambie wenye chuki ni akina nani hasa? [emoji87]hivi ndivyo bibi Yako wa kambo mzaa babu yako alivyokuambia?
Katusemea mkuu tupo wengiSema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Unaonaje ukiolewa ufipa ,Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.
Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.
Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.
Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.
Tumechokaa
Heshimu mamlaka zinazokuongoza. Mamlaka hazishindwi na mtu Bali na watu.Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.
Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.
Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.
Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.
Tumechokaa
Mwambie! Kwa taarifa yake hiyo kwenye chuki ajue asilimia kubwa zaidi 90% wanampenda magufuli na wanamuombea. Wanaomchukia ni wapiga dili na madawa ya kulevya. Watasibiri sana bado miaka 8mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana