Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Mwambie! Kwa taarifa yake hiyo kwenye chuki ajue asilimia kubwa zaidi 90% wanampenda magufuli na wanamuombea. Wanaomchukia ni wapiga dili na madawa ya kulevya. Watasibiri sana bado miaka 8
Na watu hao wanaomuombea mungu wao ni tumbo na anasa nyingine na katika hayo wameshajipatia thawabu zao hapa hapa.Wanaomtegemea Mungu wa mbinguni wako wanaendelea na toba kwamba walikosea wapi likapata nafasi jaribu hili.
 
Sema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Stop your childsh,shame on you,nyie ndowale hamtak kuambiwa ukwli mnataka siku zote msifiwe hata kama mnafanyaa uchafu kama mjombakoo *** you
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa

Mi naomba afe hata sasa akawe kuni huko jehanam.
 
Mwambie! Kwa taarifa yake hiyo kwenye chuki ajue asilimia kubwa zaidi 90% wanampenda magufuli na wanamuombea. Wanaomchukia ni wapiga dili na madawa ya kulevya. Watasibiri sana bado miaka 8
Uwongo 90% nani kakuambia
Tangu pesa za makinikia hatujapewa nadege letu kutofika mpaka leo
Jamaa simpendi tena anatumia wrong approach
Katika marais ambao niliwachukia kwa kuipoteza Ni Kikwete na nilisema sitamkumbuka ila kwa sasa ni heri ya Jk kuliko JM
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
Sema umechoka wewe siyo kisemea watu,uyachekwa!!
 
Acheni upumbavu wenu

Nyie kila anaempinga huyu jamaa ni mpiga dili, Mtu anapinga watu kuuwawa unasema ni mpiga dili?

Shame on you.
Unapinga watu kuuwawa kupitia jf,ingia barabarani na bango wewe tuone huo upingaji wako
 
Ndio tunamchukia, hatumpendi na ndio ilivyo kwa wengi....hata waskma wenzie wana chuki kubwa tu juu yake...
Swine!
Wewe umejuaje anachukiwa na watu wengi?

Nyie cdm mnapendwa na watu wengi ndiyo maana mnashinda kila chaguzi.
 
Ndio tunamchukia, hatumpendi na ndio ilivyo kwa wengi....hata waskma wenzie wana chuki kubwa tu juu yake...
Swine!
Siyo msukuma huyo jamaa, ila linajipendekeza tu usukumani. Hakuna msukuma mwenye roho mbayaaaa kama hilo jamaa !
 
Inasikitisha sana! Izi damu zisizo na hatia hazitamuacha salama!
 
mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Hizo kauli zenu za kwamba "huna cha kumfanya" zitawaponza siku yaja.
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE.
 
Wewe umejuaje anachukiwa na watu wengi?

Nyie cdm mnapendwa na watu wengi ndiyo maana mnashinda kila chaguzi.
Wewe tafsiri ya wengi unaielewaje??
Nani kakuambia mimi ni cdm??
Utakuwa una walakini kwenye ubongo wako....
Your mind is very poor....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom