- Thread starter
- #21
hivi ndivyo bibi Yako wa kambo mzaa babu yako alivyokuambia?Wengi wenye chuki ni wapiga Dili.
hivi ndivyo bibi Yako wa kambo mzaa babu yako alivyokuambia?Wengi wenye chuki ni wapiga Dili.
kuna wapiga dili kuliko Albert bashite?Sema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Tangu Serikali hii iingie madarakani mtumishi wa umma hajawahi kufanya kazi kwa uhurumpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Poa haki yangu ya msingi lazima niitekeleze sipingi utaratibu wa kwamba wengi wape!Lakini hainizuii kumchagua naye mtaka hata kama hatoshinda ndo mfumo wa vyama vingi ulivyo!Utampigia tu na hata usipompigia sato,sangala na changu pamoja na papa pweza na ngisi watampigia mkuu.Ngoma 8 subiria.
Najua ulichoandika hapa ndicho unachomaaminisha. Pole mkuu Mungu atusaidie wote. Tunaumia kama wewe. Mungu atuepushie tusije kukufuru.Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.
Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.
Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.
Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.
Tumechokaa
For every action there is equal and opposite reaction "Newton's third law of motion"mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
we ndio walewale kula kulala kwa wazazi hujui kitu k wwAsiyefanya kazi afe tu! Utakuwa na matatizo ya kulawitiwa unadhani!!! Pole sana
Aaaah wapi! umesahau yeye mwenyewe alikuwa mpiga dili au unajitoa ufahamu ndugu!Wengi wenye chuki ni wapiga Dili.
we ndio walewale kula kulala kwa wazazi kiufupi we n maiti kiakilimpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Ooh, kumbe anaongoza hao uliowataja?Utampigia tu na hata usipompigia sato,sangala na changu pamoja na papa pweza na ngisi watampigia mkuu.Ngoma 8 subiria.
Unaijua kesho yake?. Wewe ni Mungu?.mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
kwahiyo MTU akipinga udhalimu n mpiga dili? hivi nyie mitahira nan aliwaloga?Usimpigie kura uchaguzi ujao.Wapiga Dili mnajitokeza tu.
we nakufahamu vizuri,kula,kulala kwa wazaz hata wembe wa kunyoa vuz kwa wazazi sikushangai hujui maisha kenge wwUtampigia tu na hata usipompigia sato,sangala na changu pamoja na papa pweza na ngisi watampigia mkuu.Ngoma 8 subiria.
Kwani CCM mnahitaji kura za wana nchi?Baada ya miaka mitano msimpigie kura.