Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Wewe tafsiri ya wengi unaielewaje??
Nani kakuambia mimi ni cdm??
Utakuwa una walakini kwenye ubongo wako....
Your mind is very poor....
Kama yako,cdm hujifichi alama yenu ni kulialia na majungu
 
Yesu mwenyewe ,alitenda mema na wasiojitambua walimchukia ,ndio itakua Magufuli?chapa kazi baba tupo weengi tunaokupenda,wapo wahuni wachache tu wasiojitambua ndio wana ujingaujinga,kila kitu kipinga tu,hawana dira wala muelekeo.
 
Mkuu binadamu hatuishi kwa makundi ya mihemuko.
Chuki ni jambo la binafsi na ni la muda.
Chuki haikai sana kifuani mwa mtu, hasa ikitokea mtu huyo akarekebisha ambayo wewe hauyapendi na akafanya wewe umpende na kumsamehe.
Maana kukaa na kinyongo cha muda mrefu, hugeuka sumu ya kukudhuru mwenyewe na ndiyo maana madhehebu yanahubiri kusamehe.
Unapoxpress chuki jidhihirishe wewe mwenyewe bibafsi kwa kusema 'mimi' na siyo 'sisi'.
'Sisi' kwa kuexpress upendo na upendo ndiyo asili ya viumbe vyote..
Unayemchukia wewe, sisi tunampenda sana.
Siyo kumpenda tu, pia tunamuombea kwa Mungu ampe uhai ili aendelee kuservive long time.
Tumchukie kwa lipi hasa?
Tuliyekula magunia ya chumvi na wenye akili tulivu, tunaona huyu hasa ndiye, katika kupima matokeo ili kutoa marks, hatuwazi kwa jazba bali tunawaza kwa hekima ili kupima na kulinganisha nyakati tangia uhuru.
Matokeo yanatuonesha kwamba huyu ni 'good one' aina bora ya kigae cha kujengea na kuimarishia nyumba.
Wacha weee.
 
Baada ya miaka mitano msimpigie kura.
Hata umpigie kura au usipo mpigia
umpende usimpende bado atashinda tu na wabunge kibao hadi 2020
Labda kuomba Mungu tu wasiweze kubadilisha katiba ya kumpaa kuendelea kutawala
huo ndo ukweli uliobakia mkuu
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa

We uwezi kufa Mkuu kwajili ya Hawa mashetani,, amini nakuambia Mungu wetu atalipiza kwao
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
Ukiwa na maumivu na chuki nenda chooni kajisaidie haja kubwa.
Hata kama hujisikii nenda itatoka.
 
Stop your childsh,shame on you,nyie ndowale hamtak kuambiwa ukwli mnataka siku zote msifiwe hata kama mnafanyaa uchafu kama mjombakoo **** you
Unajua naona wengi mnaongozwa na jazba na ufinyu wa kufikiri,Wewe unawezaje kunishawishi nifikiri kama unavyofikiri if all you think ni kutukana?Umeambukizwa na nani ujinga huu?
 
Yesu mwenyewe ,alitenda mema na wasiojitambua walimchukia ,ndio itakua Magufuli?chapa kazi baba tupo weengi tunaokupenda,wapo wahuni wachache tu wasiojitambua ndio wana ujingaujinga,kila kitu kipinga tu,hawana dira wala muelekeo.
Kazi gani anachapa ?. Mwambie aendelee kutiririsha damu za watu wasio na hatia !!
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
Duh....timu chadema aka mange.....usitusemee wote tuna midomo yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom