Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Nina maumivu Makali na chuki mbaya

Ndivyo akili za baaadhi yenu ambao unawa represent wewe...mmepumbazwa kias kwamba mnaweza hata kutoa wake zenu au familiq zenu kafara sabab ya hiki chama.
Nadhani waliopunbazwa ni nyie,wewe ni mpiga dili unahangaika ila nikupe taarifa tu subiri miaka minane ujaribu madili yako.
 
Mkuu nimeumia sana tunavyowahangaikia hawa watoto eti anakuja kuuawa kwa mambo ya kipuuzi imeniuma sana sana...yaani chuki inayotengenezwa hapa sijui kama ataweza kuijenga tena...
 
mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Hivi Acquilina na yeye alikuwa akimchukia nani katika siasa?

Naamimi hakuwahi Ila bahati mbaya "advertise ya kuwa tunaweza na tunamaanisha kuua" ilimwangukia yeye ktk umri Mdogo na siamini kuwa lililengwa basi la abiria Bali tu huyo muuaji hakuwa sharpshooter na huenda hilo likamkosti kwenye taarifa ya utekelezaji atakapo iwasioisha kwa mkuu wake wa kazi.

DAMU YA HUYO BINTI NAOMBA ILETE TURNARROUND YA UENDESHAJI WA SIASA ZETU HAPA TANZANIA.

Ni aibu kwa kweli kuona kuwa Leo tunamwaga damu innocently kwa kisingizio kuwa "hizi ni political styles za Africa".

Shame on you leaders.
 
Nachukia sana utawala wa huyu jamaa. Ameleta chuki na uhasama baina ya watanzania. Siyo mwerevu Kabisa. The man is arrogant, clumsy, senseless and unintelligent. Huwezi kuwanyanyasa watanzania wenzako namna hii.

Hata kama Siasa ni figisu ila umezidi. Hatukupendi tunakuchukia na chuki zetu kwako zimezidi hata za balozi China.

Sijui kwanini naendelea kuishi. It's better to die than sharing the same planet with search people.

Mungu mwenye upendo ingilia kati umpende zaidi.

Tumechokaa
[emoji109] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji186] [emoji186]
 
mpende kiongozi wako mkuu maana.hata ukimchukia huna cha kumfanya utabaki kunung'unika na kuumia bure. na bado miaka zaid ya 8 mbele so si vibaya hata ukitangulia wewe yeye akabaki maana wengine tunampenda sana
Ngoja akuue,utampendea kaburini
 
Sema namchukia hujui maoni ya watu wengine,au mpiga dili nini?
Mpiga dili ni wewe kaandika fact sana....enz za jakaya ccm na chadema walikuwa wanazikana lkn kwa sasa wanaombeana mabaya[emoji17] [emoji20]
 
Nadhani waliopunbazwa ni nyie,wewe ni mpiga dili unahangaika ila nikupe taarifa tu subiri miaka minane ujaribu madili yako.
[emoji15] [emoji15] ndo kimbilio lenu mkiambiwa ukweli mnakimbilia mpiga dili[emoji13] [emoji13]
 
Mpiga dili ni wewe kaandika fact sana....enz za jakaya ccm na chadema walikuwa wanazikana lkn kwa sasa wanaombeana mabaya[emoji17] [emoji20]
Wewe unataka Chadema iwe inapanga serikali iendeshweje?fact ipi iliyoandikwa hapo ibold.Usifuate mkumbo kuwa na point zako.Mpiga dili hana jema ndio maana tunamtaja sana.
 
Wewe unataka Chadema iwe inapanga serikali iendeshweje?fact ipi iliyoandikwa hapo ibold.Usifuate mkumbo kuwa na point zako.Mpiga dili hana jema ndio maana tunamtaja sana.
Hivi nchi hii kuna mpiga madili kama bashite mbona anatawala nchi kinyume nyume....hujui kitu wewe kaa lumumba pokea buku saba yako kalale uswahilini....hujielewi[emoji13]
 
Hivi nchi hii kuna mpiga madili kama bashite mbona anatawala nchi kinyume nyume....hujui kitu wewe kaa lumumba pokea buku saba yako kalale uswahilini....hujielewi[emoji13]
Huna point wewe nimekuambia ubold point umerudia kwenye buku 7,mara lumumba mara uswahilini.
 
Wengi wenye chuki ni wapiga Dili.
Sio kweli....ila unaweza kuamini hivyo maana wewe ni mmoja wa wale wa zakuambiwa. Wapiga dili wapo hadi sasa hivi...wamepiga dili za passport, magorofa ya chuo kikuu na mengineyo hao huwaoni sababu umeamua kujiondoa ufahamu kwa sbu ya mahaba.
 
..mbaya zaidi anafanya ushetani wote huu kwa kigezo cha uzalendo....huku akiomba aombewe....hakuna mtenda haki anayeomba aombewe.....kama unapenda haki huna haja ya kuomba kuombewa kwani baraka Na kheri zinakuja tu....huku kumdhihaki Mungu namna hii kunaongeza laana kwenye Taifa hili....inauma sana.....leo Nimeona Askofu mmoja amekemea hii dhulma.....natamani maaskofu wengi zaidi waongee....hata yule anayemwombea kinafiki..... So sad we can't do anything about this daylight rape of our democracy and integrity....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom