engineerm hujaja na machine zako za ku "drill" maji? Kuna wizara ya maji na mifugo kaulizie miradi yao labda utafit hukoWakuu nina masters ya water Engineering toka huko ughaibuni,sasa baada ya kutua bongo,sijui bado michongo ya kazi inakuwaje,Please anayeweza kunipa hata ushauri nianzie wapi ani-PM manake nimekaa sana ughaibuni.Naomba masaada wakuu.
typically Tanzanian(useless people)..tukiuliza professional yako hapa tunaweza kukuta umesomea ufundi redio...hivi wewe na akili zako unapoteza muda kusoma mambo ya maji? hivi mnashauriwaga na nani wakati wa kuchagua kozi?au ndo kuenda tu ulaya hata kama unaenda kusoma kozi ya mapishi? hilo kozi utakaa milele hupati kazi ...yaani unasoma mambo ya kuchimba visima na ufundi bomba?
hivi wewe na akili zako unapoteza muda kusoma mambo ya maji? hivi mnashauriwaga na nani wakati wa kuchagua kozi?au ndo kuenda tu ulaya hata kama unaenda kusoma kozi ya mapishi? hilo kozi utakaa milele hupati kazi ...yaani unasoma mambo ya kuchimba visima na ufundi bomba?
hivi wewe na akili zako unapoteza muda kusoma mambo ya maji? hivi mnashauriwaga na nani wakati wa kuchagua kozi?au ndo kuenda tu ulaya hata kama unaenda kusoma kozi ya mapishi? hilo kozi utakaa milele hupati kazi ...yaani unasoma mambo ya kuchimba visima na ufundi bomba?
Wakuu nina masters ya water Engineering toka huko ughaibuni,sasa baada ya kutua bongo,sijui bado michongo ya kazi inakuwaje,Please anayeweza kunipa hata ushauri nianzie wapi ani-PM manake nimekaa sana ughaibuni.Naomba masaada wakuu.