Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Chadema haijaporomoja na Mnajitaidi sana kuleta mamluki kwenye chaguzi zetu za ndani lakini tunawaumbua. Kwatarifa yako wewe na wenzako Chadema kuporomoka siyo rahisi kwasababu ni Mpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
Mungu mnaemuabudu CHADEMA ni yupi? Yule anaewaongoza viongozi wenu kunyang'anya watu wanawake na wengine kwenda kutanu nao dubai kwa kodi za wananchi? Mungu yupi, yule wa kuandaa maandamano na migomo ya kinafiki? Mungu yupi huyo, anawaongoza kuandaa matukio ya kigaidi? Acheni kumkufuru mungu jamani
 
Chadema hawawezi kuwa wapinzani wa kutumia akili kama viongozi ni wa aina ya akina LEMA. watabaki kuupata umaarufu kupitia maandamano, migomo na ulaghai, siku wananchi wakiwachoka watakosa pa kujificha
Unakijua ulichopost? Kwann unakuwa mbuni?
 
Hahahahaaaaa Ukweli Umewamaliza ccm. Mambo mazuri sifa kwa JK na ccm lakini yalivyo sasa tusimhusishe Jk na ccm kicheko hicho.
 
Ungekua si Mshabiki wa vyama usingeingia kwenye Jukwa la Siasa... Jaribu kupitia post huku ndani utagundua ACT na CCM nimtu na Mchepuko wake


Mkuu kichondi77 nakupinga kwamba kila anayeitumia forum hii ni shabiki wa chama, mfano ni mimi nipo hapa kutetea watanzania na sio vyama.
 
Last edited by a moderator:
Mungu mnaemuabudu CHADEMA ni yupi? Yule anaewaongoza viongozi wenu kunyang'anya watu wanawake na wengine kwenda kutanu nao dubai kwa kodi za wananchi? Mungu yupi, yule wa kuandaa maandamano na migomo ya kinafiki? Mungu yupi huyo, anawaongoza kuandaa matukio ya kigaidi? Acheni kumkufuru mungu jamani

Tunae Mwabudu ni huyo Anaewaumbua pindi mfanyapo Ufisadi, Mtoapo Rushwa na huyo huyo ndio atatupeleka Magogoni 2015
 
ni hasara kwa taifa kuwa na wabunge wenye iq ndogo
 
Sijaona Unamtetea Mtanzania yupo huyo labda anaekua fisadi?


Basi fatilia comment zangu uone, sina uchembechembe wa ccm, cdm, act, cuf, tlp nk. Wanasiasa wote wanafanana tu, huna tofauti na msalani, kwani unayaona mabaya ya wenzako CCM wakati huohuo mabaya ya CDM huyaoni, kama walivyo wakina msalani.
Hapa nailamu ccm zaidi kwa kuwa ndio wanaochangia kwa asilimia kubwa suala la ufisadi.
EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY.
 
Back
Top Bottom