assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #61
Mimi siyo mshabiki wa vyama vya siasa lakini naona kama ACT inaumiza sana vicha vya CHADEMA, mbona hata mada isiyohusu vyama utakuta ACT inatajwa hasa na CDM
u nailed it
Mimi siyo mshabiki wa vyama vya siasa lakini naona kama ACT inaumiza sana vicha vya CHADEMA, mbona hata mada isiyohusu vyama utakuta ACT inatajwa hasa na CDM
Basi fatilia comment zangu uone, sina uchembechembe wa ccm, cdm, act, cuf, tlp nk. Wanasiasa wote wanafanana tu, huna tofauti na msalani, kwani unayaona mabaya ya wenzako CCM wakati huohuo mabaya ya CDM huyaoni, kama walivyo wakina msalani.
Hapa nailamu ccm zaidi kwa kuwa ndio wanaochangia kwa asilimia kubwa suala la ufisadi.
EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY.
Kwa jinsi ulivyoandika ukilinganisha na Lema ni ka maji na mafuta!!!!!
Basi mimi nakuchukulia kama ni mtu hujitambui tulipotoka tulipo na tunapokwenda maana ni ccm ndio wametufikisha hapa nchi yenye maziwa na Asali lakini wananchi wake nimasikini wakutupwa
Mkuu uozo wa CCM naujua, na hata CDM na CUF pia, jambo moja ninaloliamini ni kwambah hata ukiiweka chadema kwenye uongozi wa nchi, watafanya yaleyale yanayofanywa na CCM. Mimi najitambua ndio maana sioni kipya.
Niku Delete ccm na kuweka Chadema ndio chakufanya
Si amesema CCM ndio imetufikisha hapa, mimi namuuliza tufanye nini?
Si amesema CCM ndio imetufikisha hapa, mimi namuuliza tufanye nini?
Nikuondoa ccm kwenye box la kura kwa kuipa chadema
mkombozi wao act anakuja stay tuned
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.
3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.
Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.
Niku Delete ccm na kuweka Chadema ndio chakufanya
Mkuu kui-delete hilo dude kwa njia ya box bila kufanya mass resistance itakuwa vigumu sana.
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.
1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?
2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi
3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.
4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?
Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.
Mkuu kui-delete hilo dude kwa njia ya box bila kufanya mass resistance itakuwa vigumu sana.
Ndio Hayo yanatakiwa Tumtoe Mkoloni Mweusi
Kama kweli mna mpango wa kuwa na rais msimamiajo wa sheria vp mnaanza kwa kuvunja sheria kiruhusu gongo?1. Hata wewe unalalamika, unasema chadema kuna matatizo bila kuyataja.Chadema hata ikiwa na matatizo haina madhara kwa nchi,rais akiwa na maamuzi HOI ni tatizo kwa nchi.
2.Mfumuko wa bei ni kweli hutokea,ila hapa kwetu unatokea kwa kutengenezwa na matajiri ambao ndio rafiki wakubwa wa viongozi wa kitaifa,yaani hata kodi hawatoi.
3.Rais hana uwezo wa kuingilia bunge la katiba!? Alipolazimisha Warioba aanze kwanza na yeye kujibu hoja za Warioba sio kuingilia BMK kule? Na anapoongeza muda wa BMK sio kuingilia huko!? Yaani unamaanisha Kuwa hata BMK likianza kujadili mambo ya kuhujum wananchi basi Rais akae kimya tu!?
4.UTAKAMILISHA VIPI AHADI IKIWA WALIOKO MAFATAKANI WANAFANYA KILA AINA YA PROPAGANDA ILI KUZIMA UTIMIZWAJI WA AHADI
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.
1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?
2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi
3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.
4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?
Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.