Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,941
- 6,859
Kabla sijaudhi wengi, nilikuwa natania. It is all good. Mkuu ameapologise na ameonyesha namna gani muungwana anavyotakiwa ku'behave'. Shukrani kwa wote.
Kabla sijaudhi wengi, nilikuwa natania. It is all good. Mkuu ameapologise na ameonyesha namna gani muungwana anavyotakiwa ku'behave'. Shukrani kwa wote.
Ahsante kwa hayo, nnaomba radhi kwa kuwaudhi watu, si niya yangu kumuudhi mtu bali kilichoniudhi, ni simply mimi nilikuwa nachangia thread na nikasema yangu ya kupinga ubaguzi, na muyu mwanamke akanipachika jina na kushadidia ndio langu. Nikamuambia kiutaratibu, siyo mimi huyo amsemae, lakini kakazania tu.
Anyways, narudia tena, kwa kusema: naomba msamaha kwa kuwaudhi wengi, I was out of hand kwa kupachikwa jina ambalo si langu. I hope you will all understand and forgive me. And thank you bro.
Karl Peters na Livingstone walikuwa wakizipenda sana nchi zao ndo maana walionndoka makwao wakaja kwetu na kutumia muda mrefu sana kukatiza nyika na kuongea na watu. Kazi zao ziliweza kukuza chumi za nchi zao mara dufu.
Uzalendo maana yake siyo kukaa ndani ya mipaka ya nchi yako na kushiriki mgao wa umasikini. Uzalendo ni kutoa mchango wowote uwezao kutoa kwa nchi yako popote pale ulipo.
Wapo wanaokimbia ukweli wa hali halisi ya maisha ya Tanzania kwa kuiba na kupokea Rushwa wakiwa ndani ya mipaka ya Tanzania.
Wako wanaoamka na kukaa mabarazani wakicheza bao huku wakinywa kahawa na kashata za kununuliwa.
Hawa uzalendo wao ni upi?
Kuishi Tanzania????
Ndugu yangu hili somo lilimshinda Lowassa... gumu kweli..
Asubuhi hii nilifika kazini nikiwa mchovu baada ya kukesha kwenye simu kujua nini kinaendela kule idodomya. Nilikuwa bado na hasira na uchungu baada ya kufikia hitimisho kuwa Tanzania kuna watu baadhi tu wenye uwezo wa kuongoza nchi yetu na hakuna kitu naweza kufanya kwa sasa.
Katika kupitia email toka kwa bosi, email yake ya kwanza ilikuwa ni hii story ya bbc ambayo alisisitiza sana kuwa imemshangaza kuwa kitu kama hiki chaweza kutokea Afrika:
Kwa vile JF ilikuwa down, ikabidi nianzishe mazungumzo ya haraka na bosi wangu kuhusu hii email. Akasisitiza kuwa ameshangazwa sana na hii habari kwa vile yeye aliamini kuwa kitu kama hiki hakiwezi kutokea Afrika. Ifahamike kuwa wiki zaidi ya tano hapa ofisini habari zimekuwa tu kuhusu Kenya na namna Kibaki na wezi wenzake walivyokataa kuachia madaraka.
Imenitia moyo na kunifurahisha baada ya bosi wangu kuwaita baadhi ya wafanyakazi wenzagu (kina Euberstein) na kuwaeleza kuwa waziri mkuu katika nchi ya Afrika amejiuzulu kwa rushwa. Kwa haraka haraka nikamkumbuka Mwanakijiji na visimu vyake vyote alivyokuwa anapiga Tanzania kufuatilia mambo ya nyumbani, na pia nikakumbuka jinsi wana JF (ikiwemo wabunge na wajumbe wa kamati ya Mwakyembe) walivyoshirikiana behind the scene kuhakikisha kuwa Lowasa na wenzake wanaondoka.
Kwa kweli nimefurahia sana kuwa part ya process kubwa hii na imenipa kiburi tena kujiita mtanzania hapa kazini. Watu wengi hapa (ambao wengi wana liberal views za international politiks) walikuwa very proud na Tanzania.
Nina kiburi sana kuwa mTanzania leo. Kwa leo nitamshukuru Lowasa kwa kukubali kutoka the easy way, nitamshukuru Kikwete pia kwa kutokuwa kichwa ngumu na slow kwenye maamuzi, nitawashukuru wote hasa wabunge wa ccm kama Mama Malecela nk ambao pia walisaidia kufanikisha hii vita.
Nina kiburi sana kuwa mtanzania leo. Nchi ambayo mashujaa kama Nyerere, Slaa, na Zitto wanaiita nchi yao. Ninafurahi, ninacheka, na ingawa hili baraza ni bovu sana, lakini nina raha kuwa Mramba amekwenda......
Hongera wote waliofanya kazi kubwa, muda mwingine inabidi tupate kitu cha kufurahia kabla hatujacollapse kwa mishinikizo ya damu na misongo ya mawazo.
Nafurahia na nina kiburi sana kuwa mTanzania.
zomba,
sasa "unaua timu" mkulu, kama ni hasira nadhani umezimaliza zooooooote. hakuna aliye-perfect hapa, unatoa dukuduku lako halafu yanakwisha tunasonga mbele. wewe toka jana, tena kwenye thread nyingine!! lakini bado tu?? tafadhali sheikh, inatosha kwa heshima yako wewe na sisi members wenzako..........au mpaka tumwite Kofi Annan, au yule "pimbi" tumbo kubwa kaa mimba ya watoto kumi, ati na yeye siku hizi kawa "mpatanishi" wa kimataifa, bwa'kubwa che nkapa??. let go of that B.S, jumuika barzani and have funny!!!.
Azimio Jipya,Zomba;
Lakini:
Nimalizie kwa Uhodari wa msulihishi "YournameisMINE"
nafikiri ametoa mchango mkubwa kuwezesha mabo kuwa sawa.... YournameisMINE ..karibu unamfikia Koff A..mamabo yanaaza kidogo kidogo!!
Nina kiburi sana kuwa mTanzania leo. Kwa leo nitamshukuru Lowasa kwa kukubali kutoka the easy way, nitamshukuru Kikwete pia kwa kutokuwa kichwa ngumu na slow kwenye maamuzi, nitawashukuru wote hasa wabunge wa ccm kama Mama Malecela nk ambao pia walisaidia kufanikisha hii vita. Nina kiburi sana kuwa mtanzania leo. Nchi ambayo mashujaa kama Nyerere, Slaa, na Zitto wanaiita nchi yao. Ninafurahi, ninacheka, na ingawa hili baraza ni bovu sana, lakini nina raha kuwa Mramba amekwenda......
Hongera wote waliofanya kazi kubwa, muda mwingine inabidi tupate kitu cha kufurahia kabla hatujacollapse kwa mishinikizo ya damu na misongo ya mawazo. Nafurahia na nina kiburi sana kuwa mTanzania.
I am sure most of contributors here, are not residing in Tanzania, but their ideas, financial, etc brings changes there, so still she have a right to be a proud as a Tanzanian, no matter were she live. Exposure matter
This was war??? well from my point of a view this girl belongs to nchi ya kusadikika!! Naona sasa utapunguza kuwa pessimistic kind of a person!!
Kiukweli wewe naona hatupo pamoja, vita unayoitaka wewe ni ipi? Au hujui umasikini wetu na hali mbaya ya jamii yetu ni matokeo ya kushindwa vita mbalimbali ikiwemo dhidi ya ufisadi? Nashawishika kuwa u fisadi propagator and facilitator.
WEWE HAPA NDIO UMEKOSA HEKIMAHuyu Zomba ni one-sided myopic creature..na hata siku moja hawezi kutoa point..hivyo msamehe tu..ndivyo alivyo..
Nafurahia na nina kiburi sana kuwa mTanzania.
Kama Wew Mtanzania Wa Kweli Njoo Tanzania Utuletee Hizo Pesa
Za Mabox Watanzania Wakazae Kwwenye Zahanati Safi Zilizo Bora