Asante mkuu, ila kuhusu izo term ni kua huaga nlikua nasomaga jf via opera, ila sikuwa nimejiunga,Kuna terms za JF kwa mgeni kutumia kidogo pana ukakasi mfano kugegeda!, anyway!!!, ila na kingine kuwa na jinsia mbili ni kawaida ila zote kuwa active ndo inashangaza pole sana
Ushauri kama ya kiume ipo active bora uoe tu jitahid umpate mwanamke mwelewa muelezee kila kitu ulichonacho, ila ukiolewa daaaah inahitaji moyo kidogo yaani jamaa akikugegeda anaiona dushe yako hapo inakuwa kama kang'oa punga hiv haina hata mzuka
Kama huna mapumbu basi huna shahawa maana zinahifadhiwa kwenye pumbu. Ulivyogegeda ulikojoa!?
Dah! Pole sana aisee.
Sijawah kugongwa naogopa,Muomba ushauri hajibu maswali! Nasubiri jibu la swali hili! Ulishawahi fanywa? Ulijisikiaje? Mtu mwenyewe huna mapu..mb... Unataka ukamuoe nani? Mwanaume Ukiwa huna map*mbu tayari we kazi huna yaani ni sawa na gari bila injini hapo tutaita jahazi au toroli? Nikushauri tu itapendeza ukiolewa au uendelee kupumuliwa! Waone madaktali wakupime Kwa maelezo zaidi
ha ha ha mla huliwanikikuoa si kuna siku utanigeuka asee....oa tuu
Mkuu naogopaga maoparesheni mmNenda kwa daktari akuchunguze ipi inafanya kazi sawsawa yaani aangalie mayai ya kike na mbegu za kiume zipi zenye nguvu zaidi. Akuangalie mfuko was uzazi kama una uwezo was kubeba mtoto.
Kama vyote vitakuwa sawa ytaangalia mwenyewe ni wapi unapata raha.