BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Dah! umeshaniambukiza lihamu lako hapa,,
bora nisingefungua hii sredi
TANMO,
kwa iyo na ww iko hamu?
Dah! umeshaniambukiza lihamu lako hapa,,
bora nisingefungua hii sredi
hongera yaani mie sijui nitakuwa mgeni wa nani leo na hii hamuMamito mzima ww?
Siku nyingi aisee!
Pole kwa hamu mie nilikua nayo ila ndio ishamalizwa lol!!
Dah! umeshaniambukiza lihamu lako hapa,,
bora nisingefungua hii sredi
hahahaha utajiju ingia kwenye phone book yako
TANMO,
kwa iyo na ww iko hamu?
jamani hata avatar haikupi clue, mm ni she
Na rejao mme wangu,kaniombea kwa bosi nisiende job nilale so hamu ya kulala ishaisha!!na nani?
Mie mzima wa afya jaman,hongera yaani mie sijui nitakuwa mgeni wa nani leo na hii hamu
mzima mamii niponipo tu
Na rejao mme wangu,kaniombea kwa bosi nisiende job nilale so hamu ya kulala ishaisha!!
Kwani ww una hamu?
Mi sina hamu.. Ngoja niji keep busy labda ntachoka then ntapata hamu!
ongea vizuri na BB naye si ana hamu mnaweza saidiana atii!acha tu
Hii mida ndo huwa napenda kulala, hapa nilipo navuta kausingizi taratibu.....nahisi nitalala usingizi bila kulog out!
Mwenzenu Napita tu......
Mi sina hamu.. Ngoja niji keep busy labda ntachoka then ntapata hamu!
hamu leo tu yaani na hii hali ya hewa natamani kulala sanaMie mzima wa afya jaman,
Umeadimika sana aisee,au ndio mambo ya hamu!!