Ruksa kama una ridhaa yake
sitaki kupoteza mpiganaji kabisa kwa uzembe
na ni kushika tu, nothing more...
wapemba hawajuani kabisa
'the nasty...'
NN nenda kwenu unaitwa! Stori za wakubwa hapa haziruhusiwi banaa, weeh vipi?
Tuanzishe bendi ya taarab
afu mnenguaji wetu awe moyo
maana anaonekana anaweza kuwa 'the crazy one' akiamua.
na hamu ya kuanzisha sredi
ila sina jambo la maana
nataka sehemu ya kupiga soga tu
naogopa kuchakachua sredi za watu bure
mwishowe waninunie
kwa anayetaka kijiwe cha kahawa bila stress
Karibu hapa, karanga na kashata juu yako.
Nina hamu na kushika nyonyo za naniii....