Nina hamu ya...

vp bed litapatikana maana najua watu wakishakunywa ghahawa watahitaji kumpumzika kidogo
 
Tuanzishe bendi ya taarab
afu mnenguaji wetu awe moyo

maana anaonekana anaweza kuwa 'the crazy one' akiamua. :)

Hahhaaahaa...nina kiuno kigumu kama kabati,msitake watu wadai pesa za viingilio..ila kama wewe utakuwa pembeni yangu tukinengua wote naweza kupata confidence kidogo:tongue:
 
mi namwangalia tu fulani
wanacheza cheza wee

mi sitasema kama niliwaona
ngoja niendelee kugawia kahawa wageni wangu

king'asti msuba hauruhusiwi hapa

NN nenda kwenu unaitwa! Stori za wakubwa hapa haziruhusiwi banaa, weeh vipi?
 
na hamu ya kuanzisha sredi
ila sina jambo la maana
nataka sehemu ya kupiga soga tu
naogopa kuchakachua sredi za watu bure
mwishowe waninunie

kwa anayetaka kijiwe cha kahawa bila stress
Karibu hapa, karanga na kashata juu yako.

Mi nlifikiri una hamu ya dudu bana! Kumbe ku chat? Aaaagghh! Ngocha nikacheki movie!
 
Back
Top Bottom