Mr handsome hadi huku upo???
haya unataka aende beach j3??wakati mwenzako anatafuta mlo mkono uende kinywani
by the way kila nikisoma comments zako nakugundua mtu wa namna gani we ni kula kulala tu na hapo sasa hivi unavijisent vya boom basi unajiona mjanja kama wewe hakuna na mwaka kama hujao.....
Wewe ni kijana mdogo sana nasikitika tz kuwa na kijana mwenye akili kama zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.