Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Jf nayo sijui imekuwa kama uwanja wa fisi au Sinza....wakishamaliza kujiuza huko tinder na telegram.,uzee wanakuja kumaliza huku kwa kutoa tia huruma
 
Jf nayo sijui imekuwa kama uwanja wa fisi au Sinza....wakishamaliza kujiuza huko tinder na telegram.,uzee wanakuja kumaliza huku kwa kutoa tia huruma
Unakuta ni dume hilo 😂😁
 
BAADA YA ANDIKO LAKO NATUMAI ILO GUNDU SIJUI MKOSI AMA KIPAPAI, KIMESHAONDOKA.

Gundu limeondoka baada ya PM yako kujaa na itajaa kweli kweli
 
Inatokeaga.....ukiwa single unahitaji kuzama penzini hawapo, ukiwa kwenye penzi zito na mtoto wa mtu yani watu wanakuja kama wameletwa na upepo, hata ukitembea mmeshikana utashangaa mtu anakukonyeza....
Anyway mzabzab come zis wey
Hapo shetani anakuwaga anataka kuharibu mapenzi yenu, ukiachika tu hutawaona tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom