Nina group la vitabu soft copy :FREE OF CHARGE

Nina group la vitabu soft copy :FREE OF CHARGE

Hongera sana Room 28 kwa wazo hili zuri na moyo wako wa kujitolea kutoa maarifa kwa jamii! Ni kweli kabisa, maarifa ni hazina kubwa na kujitolea kwako kutafungua bongo za wengi. Hii ni philanthropy ya kweli na ya kutia moyo sana.

Kuhusu njia ya kusambaza, wazo la DEO mtiifu la kutumia WhatsApp group linaweza kuwa rahisi sana na kufikia watu wengi zaidi kwa haraka, lakini hata kupitia email ni njia nzuri pia. Chochote kitakachokufaa na kukupa urahisi, ndio muhimu.

Tunakushukuru sana kwa initiative hii, endelea na roho hiyo hiyo ya utoaji. Ni jambo la kupongezwa sana!

Leo mie na AI ya JF.. Kwa kila uzi ijibu nitembelee zingine 😅
 
Mini nnazo riwaya zote zilizosumbua bongo miaka hiyo......zote soft copy....soft copy 3 5000 ,8@10,000

Ukiaanza na hii....

MKIMBIZI.



siku iliyofuata ili kukwepa jua kali libabualo la nusu jangwa.
Asubuhi ya siku iliyofuata, nikiwa msichana pekee katika msafara wetu, nilijiweka vizuri kwenye kiti changu cha dirishani nyuma ya kiti cha dereva na safari yetu kuelekea Manyoni ilianza. Nilipachika visikilizio masikioni na kuanza kusikiliza muziki wa Bongo Flava kutoka kwenye Walkman yangu ya CD na kuwaacha wasafiri wenzangu wakiburudika na muziki wao wa mayenu kutoka kwenye redio ya gari. Kadiri safari ilipoendelea huku Land Cruiser ikienda kwa kasi kupitia kwenye njia za vumbi na kona nyingi kuelekea kwenye lengo la safari yetu nikabaini kuwa bwana Ubwa Mgaya wa Chuo Kikuu alikuwa akinitupia macho ya mara kwa mara jambo ambalo lilianza kunikera.
Nikavaa miwani yangu ya jua na kuamua kuangalia nje ya dirisha.
Ilikuwa jioni sana tulipoingia Manyoni mjini na kuamua kupata malazi katika nyumba yoyote ya wageni tutakayoiona, ambayo ilitokea kuwa ni nyumba kubwa ya vyuma sita isiyokuwa na umeme na choo cha shimo ambacho pia hutumika kama bafu, na mama mwenye nyumba mcheshi sana. Ilibidi tufanye zamu kutumia choo na bafu na kwa msisitizo wa bwana Ubwa Mgaya nikapewa nafasi ya kuwa wa kwanza kutumia huduma hiyo. Nilipotoka bafuni nikajibwaga kitandani chumbani kwangu kwa lengo la kujipumzisha kabla ya kupata mlo wa jioni, lakini nilipofumbua macho ilikuwa alfajiri ya siku iliyofuata.
Kama jinsi taratibu zinavyotaka, tuliripoti ofisini kwa mkuu wa wilaya, ambaye alitokea kuwa ni mwanamke wa makamu mwenye sura ya kuvutia na tabasamu la kutia moyo. Kwa kuwa alikuwa na taarifa ya ujio wetu, hatukupoteza muda pale ofisini kwake. Baada ya mkuu wa msafara bwana Ibrahim Geresha kututambulisha na mpiga picha wetu Gilbert Kyaro au Gil kutupiga picha ya pamoja tukiwa na mkuu wa wilaya, tulipewa wenyeji wawili kutoka kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ambao ndio wangetuongoza kuelekea huko kulipoonekana hayo mabaki ya kiumbe cha kale kisichojulikana.
Kwa mara nyingine tena tukaingia kwenye Land Cruiser yetu na safari ya kuelekea msituni ikaanza, tukiwa tuna watu wawili zaidi na zana zetu za kazi zilizojumuisha mahema, machepeo maalum, vifaa vya kupikia, chakula cha kuweza kutosha kwa wiki nzima na mabegi yetu binafsi. Tukiwa njiani nilianza urafiki na mpiga picha wetu Gil huku nikibaini kuwa bwana Ubwa Mgaya sasa hakuwa akinitupia macho ya wizi tena bali alikuwa akinikodolea macho wazi wazi kama mvulana ambaye amebaleghe halafu akamwona msichana wa ndoto zake.
Niliamua kutomtilia maanani na kujaribu kuelekeza akili yangu kwenye kazi iliyopo mbele yetu.

Laiti ningejua kilichokuwa kikitusubiri huko mbele…
 
Mini nnazo riwaya zote zilizosumbua bongo miaka hiyo......zote soft copy....soft copy 3 5000 ,8@10,000

Ukiaanza na hii....

MKIMBIZI.



siku iliyofuata ili kukwepa jua kali libabualo la nusu jangwa.
Asubuhi ya siku iliyofuata, nikiwa msichana pekee katika msafara wetu, nilijiweka vizuri kwenye kiti changu cha dirishani nyuma ya kiti cha dereva na safari yetu kuelekea Manyoni ilianza. Nilipachika visikilizio masikioni na kuanza kusikiliza muziki wa Bongo Flava kutoka kwenye Walkman yangu ya CD na kuwaacha wasafiri wenzangu wakiburudika na muziki wao wa mayenu kutoka kwenye redio ya gari. Kadiri safari ilipoendelea huku Land Cruiser ikienda kwa kasi kupitia kwenye njia za vumbi na kona nyingi kuelekea kwenye lengo la safari yetu nikabaini kuwa bwana Ubwa Mgaya wa Chuo Kikuu alikuwa akinitupia macho ya mara kwa mara jambo ambalo lilianza kunikera.
Nikavaa miwani yangu ya jua na kuamua kuangalia nje ya dirisha.
Ilikuwa jioni sana tulipoingia Manyoni mjini na kuamua kupata malazi katika nyumba yoyote ya wageni tutakayoiona, ambayo ilitokea kuwa ni nyumba kubwa ya vyuma sita isiyokuwa na umeme na choo cha shimo ambacho pia hutumika kama bafu, na mama mwenye nyumba mcheshi sana. Ilibidi tufanye zamu kutumia choo na bafu na kwa msisitizo wa bwana Ubwa Mgaya nikapewa nafasi ya kuwa wa kwanza kutumia huduma hiyo. Nilipotoka bafuni nikajibwaga kitandani chumbani kwangu kwa lengo la kujipumzisha kabla ya kupata mlo wa jioni, lakini nilipofumbua macho ilikuwa alfajiri ya siku iliyofuata.
Kama jinsi taratibu zinavyotaka, tuliripoti ofisini kwa mkuu wa wilaya, ambaye alitokea kuwa ni mwanamke wa makamu mwenye sura ya kuvutia na tabasamu la kutia moyo. Kwa kuwa alikuwa na taarifa ya ujio wetu, hatukupoteza muda pale ofisini kwake. Baada ya mkuu wa msafara bwana Ibrahim Geresha kututambulisha na mpiga picha wetu Gilbert Kyaro au Gil kutupiga picha ya pamoja tukiwa na mkuu wa wilaya, tulipewa wenyeji wawili kutoka kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ambao ndio wangetuongoza kuelekea huko kulipoonekana hayo mabaki ya kiumbe cha kale kisichojulikana.
Kwa mara nyingine tena tukaingia kwenye Land Cruiser yetu na safari ya kuelekea msituni ikaanza, tukiwa tuna watu wawili zaidi na zana zetu za kazi zilizojumuisha mahema, machepeo maalum, vifaa vya kupikia, chakula cha kuweza kutosha kwa wiki nzima na mabegi yetu binafsi. Tukiwa njiani nilianza urafiki na mpiga picha wetu Gil huku nikibaini kuwa bwana Ubwa Mgaya sasa hakuwa akinitupia macho ya wizi tena bali alikuwa akinikodolea macho wazi wazi kama mvulana ambaye amebaleghe halafu akamwona msichana wa ndoto zake.
Niliamua kutomtilia maanani na kujaribu kuelekeza akili yangu kwenye kazi iliyopo mbele yetu.

Laiti ningejua kilichokuwa kikitusubiri huko mbele…
Asante
 
Unaitwaje?
Tuta
Hongera sana Room 28 kwa wazo hili zuri na moyo wako wa kujitolea kutoa maarifa kwa jamii! Ni kweli kabisa, maarifa ni hazina kubwa na kujitolea kwako kutafungua bongo za wengi. Hii ni philanthropy ya kweli na ya kutia moyo sana.

Kuhusu njia ya kusambaza, wazo la DEO mtiifu la kutumia WhatsApp group linaweza kuwa rahisi sana na kufikia watu wengi zaidi kwa haraka, lakini hata kupitia email ni njia nzuri pia. Chochote kitakachokufaa na kukupa urahisi, ndio muhimu.

Tunakushukuru sana kwa initiative hii, endelea na roho hiyo hiyo ya utoaji. Ni jambo la kupongezwa sana!

Leo mie na AI ya JF.. Kwa kila uzi ijibu nitembelee zingine 😅
pamoja mkuu AI YA JF
 
Hongera sana Room 28 kwa wazo hili zuri na moyo wako wa kujitolea kutoa maarifa kwa jamii! Ni kweli kabisa, maarifa ni hazina kubwa na kujitolea kwako kutafungua bongo za wengi. Hii ni philanthropy ya kweli na ya kutia moyo sana.

Kuhusu njia ya kusambaza, wazo la DEO mtiifu la kutumia WhatsApp group linaweza kuwa rahisi sana na kufikia watu wengi zaidi kwa haraka, lakini hata kupitia email ni njia nzuri pia. Chochote kitakachokufaa na kukupa urahisi, ndio muhimu.

Tunakushukuru sana kwa initiative hii, endelea na roho hiyo hiyo ya utoaji. Ni jambo la kupongezwa sana!

Leo mie na AI ya JF.. Kwa kila uzi ijibu nitembelee zingine 😅
Mkuu naicommand vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom