Hekima ni Mwalimu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 238
- 456
Wewe mkorofi SanaKua makini na Punda 🫏 🐴
😂😂😂
Wewe mkorofi SanaKua makini na Punda 🫏 🐴
Haahaha Nimepeenda ulivyo state yaani naimagine kwa ile sauti ya mtafsiri wa Filamu ya Yesu!Sogea ngorongoro one day, palee Kuna Simba wakarimu kinoma nenda kajaribu kuwasogelea inawezekana ukawa na kipawa Cha wanyama wewe
Unalisha ukoo mzima huoMbwa ni best friend nnao watatu
hao paka na bi chura sijui tabia zao!
Chunga sana mazoea na mbwa!... hasa kuingia nae ndani!Kuna jambo limekuwa likinitokea kwa muda sasa, na kila ninapolifikiria najiuliza kama ni jambo la kawaida au kuna watu wengine pia wamelipitia.
Ninaishi kwenye apartment ya kupanga. Jirani yangu anafuga mbwa, na cha kushangaza ni kwamba mbwa huyo ameonekana kunizoea sana. Karibu kila usiku ninaporudi kutoka kazini, nikikaribia geti huja mbio kunifuata, huanza kunirukia kwa furaha, na ninapofungua geti hujaribu kuingia ndani ya nyumba yangu. Hata hivyo, kila mara huwa namzuia.
Cha kushangaza zaidi ni kwamba hili si tukio la mara moja. Limekuwa likitokea karibu kila siku.
Baada ya hapo kulitokea tukio lingine. Kulikuwa na paka aliyekuwa amehamia eneo letu. Badala ya kwenda kwenye nyumba nyingine, alianza kuja kulia mbele ya mlango wangu. Kila nilipofungua mlango alijaribu kuingia ndani. Hali hiyo iliendelea kwa takribani siku tatu mfululizo, lakini siku zote nilimzuia kuingia.
Kuna tukio lingine ambalo limenifanya nizidi kujiuliza. Kwenye kibaraza changu huwa naweka viatu. Mara kadhaa nimekuwa nikikuta chura amejificha ndani ya viatu hivyo. Si mara moja tu, limejirudia zaidi ya mara moja.
Sasa nikijumlisha haya yote –mbwa kunizoea sana, paka kutaka kuingia ndani kwangu, na hata vyura kujificha kwenye viatu vyangu–naanza kujiuliza kama haya ni matukio ya kawaida tu, au kuna watu ambao kwa namna fulani wanyama huwazoea zaidi kuliko wengine.
Matukio haya yamenifanya nijiulize kama kweli kuna watu ambao wanyama huwazoea kwa urahisi kuliko wengine, au haya ni matukio ya kawaida tu ambayo yanaweza kumtokea mtu yeyote.
Je, nyinyi mnalitafsiri vipi hili? Ni bahati ya kupendwa na wanyama, ni tabia ya kawaida ya wanyama, au kuna maelezo mengine?
Una miaka mingapi?Huku kwenye maswala ya nature huwezi elewa kitu,
Naskia Dotto magari ana ukimwi, hebu tuandalie uzi wake
Unaonekana una uzoefu, kwahiyo mkuu sahv bolt haina thread 🤔Chunga sana mazoea na mbwa!... hasa kuingia nae ndani!
Iko siku utamfanyia hivi
View attachment 3639680
Na yeye bila hiyana...atachomeka! Tu!