maatope JF-Expert Member Sep 19, 2013 1,424 957 Jun 1, 2015 #1 Nasikitika sana kusema haya maneno lakini sina jinsi kwa kweli ,inabidi tu members wa JF wameshindwa kuendana na kasi yangu ya ubongo. Iam a prodigy, threads zangu ni za nguvu mno mpaka najiogopa,wakati mwingine huwa nahisi mimi ni mjukuu wa Einstein! Adioos
Nasikitika sana kusema haya maneno lakini sina jinsi kwa kweli ,inabidi tu members wa JF wameshindwa kuendana na kasi yangu ya ubongo. Iam a prodigy, threads zangu ni za nguvu mno mpaka najiogopa,wakati mwingine huwa nahisi mimi ni mjukuu wa Einstein! Adioos
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Jun 1, 2015 #3 kabla hujaandika matope make sure mvua inanyesha
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,893 109,227 Jun 1, 2015 #4 JF is never boring - The Boss Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,789 288,020 Jun 1, 2015 #5 Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukiyastaajabu ya mwizi wa pichu chafu za mkewe na house girl ili azinuse utayaona ya Maaaaaaatope!!!!
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukiyastaajabu ya mwizi wa pichu chafu za mkewe na house girl ili azinuse utayaona ya Maaaaaaatope!!!!
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Jun 1, 2015 #6 BAK said: Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukiyastaajabu ya mwizi wa pichu chafu za mkewe na house girl ili azinuse utayaona ya Maaaaaaatope!!!! Click to expand... Yule wa pichu kiboko aisee
BAK said: Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukiyastaajabu ya mwizi wa pichu chafu za mkewe na house girl ili azinuse utayaona ya Maaaaaaatope!!!! Click to expand... Yule wa pichu kiboko aisee
Kaunga JF-Expert Member Nov 28, 2010 12,530 13,469 Jun 1, 2015 #9 Imejitahidi 'kutoka vipi' lakini sio new invention kama ambayo ningetegemea kwa mtu asiye na maatope yaliyofunikwa na fuvu la kichwa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Imejitahidi 'kutoka vipi' lakini sio new invention kama ambayo ningetegemea kwa mtu asiye na maatope yaliyofunikwa na fuvu la kichwa
Janjaweed JF-Expert Member Jan 20, 2010 13,157 10,655 Jun 1, 2015 #12 dah, tangu mirembe waweke kompyuta tunaona mengi
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,215 Jun 1, 2015 #13 hahahahhaahahhahahahhahaha lol very funny . wenye wanazo hata hawaongei.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,073 Jun 1, 2015 #14 Kuna kuwa na akili na kuna kutumia ipasavyo akili uliyonayo... Kutokueleweka na wengi haimaanishi wajua sana...
Kuna kuwa na akili na kuna kutumia ipasavyo akili uliyonayo... Kutokueleweka na wengi haimaanishi wajua sana...
G guasa JF-Expert Member Dec 30, 2013 1,934 658 Jun 1, 2015 #15 Huwa namtizama bata anavyokupenda!akili ya biashara na akili ya kuvukia barabara lakini zote ni akili.
Huwa namtizama bata anavyokupenda!akili ya biashara na akili ya kuvukia barabara lakini zote ni akili.
Laptop01 JF-Expert Member Nov 29, 2009 1,365 796 Jun 2, 2015 #16 Wewe jamaa? Si ni MAATOPE wewe? Ubongo wako unejaa matope mbona?
naiman64 JF-Expert Member Nov 22, 2013 6,854 5,276 Jun 3, 2015 #17 Ukifika mirembe ndio utakujua kuna aina ngapi za magonjwa ya akili
victor moshi JF-Expert Member Oct 17, 2014 829 1,059 Jun 7, 2015 #19 Iyooo I D tu....inatuuthirishia jinsi gani ulivyo..walaa huna haja ya kujisifiaa..
kat.ph JF-Expert Member Dec 19, 2013 2,222 1,675 Jun 7, 2015 #20 Akili kupe Last edited by a moderator: Jan 4, 2016