Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,416
- 4,872
maneno yako yanaakisi up stears yako ilivyokwa sasa haya mawazo ni mgando...!!! Ila we utakua umeganda
maneno yako yanaakisi up stears yako ilivyokwa sasa haya mawazo ni mgando...!!! Ila we utakua umeganda
Kuna million 1 kwa atakae fanikisha nipate post pale udom, kazi ninayo ila nataka sana hizo post ni PM kwa mawasiliano zaidi.
NB:- Naomba usichangie kama huna cha msingi cha kuongea
Sasa ndugu huo si mtaji tosha kabisa wa kuanzisha biashara? Kwanini Watz tunapenda kuajiriwa, achana na mambo ya kuajiriwa tumia hiyo fedha kama mtaji anzisha biashara yako. Hela yote hiyo uihonge kisa kazi ya kuajiriwa!!!!!!!!!!!
wewe ni me au ke kama ni ke basi usipate shida ni pm mambo yameisha.nitajie na post uitakayoKuna million 1 kwa atakae fanikisha nipate post pale udom, kazi ninayo ila nataka sana hizo post ni PM kwa mawasiliano zaidi.
NB:- Naomba usichangie kama huna cha msingi cha kuongea
mbona hamsemi biashara gani ya mtaji wa million 1 amboya itatoa faida inayoweza kusomesha watoto,kuwalisha na kupata fedha ya kujikimu.