Nimwache? Nahisi ana wowowo la Kichina

Nimwache? Nahisi ana wowowo la Kichina

pole sana, huo ndio ukubwa mkuu. ukiskia kua uyaone ndio mambo kama hayo.
Bora ukae nae chini umweleze kua alichokifanya sio kitu kizuri na kama unamwacha unamwacha kwa sababu hiyo.
 
Mkuu wewe muache tu lkn nirushie namba yake huyo dada!!
 
wanawake wengine bana au anataka awe anapigwa 0713
 
Mkuu umezungumzia vitu viwili tofauti makalio na tabia ya umalaya. Lakini makalio hayaendani na tabia ya MTU. Kwa sababu tabia ya MTU IPO moyoni siyo kwenye makalio.

Ninachokiona unakosa kujiamini unahisi utaibiwa. Vumilia vizuri vina kasoro na huwezi pata aliyekamilika hata uwe rais.
 
Back
Top Bottom