Nimueleze ukweli au nikae kimya..

Nimueleze ukweli au nikae kimya..

tembeza mjeredi then ndo mkae mlidiscus kama unataka kulidiscus kabla kugegedana ni pm namba yake ili akizingua nikuombee msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna binti nimeingia nae mahusiano lakini bado sijavunja nae amri ya sita ila mimi nina mwanamke mwingine ambaye nimezaa nae mtoto mmoja na naishi nae.

Swali langu ni je nimueleze ukweli ili ajue yuko kwenye position gani au nikae kimya mpaka nitakapofanikiwa kumgegeda ndo nimueleze ukweli ? Hofu yangu ni kwamba nikimueleza ukweli anaweza akakimbia mazima.

Naombeni ushauri wenu.
Mwache binti wa watu, ukimfanyia ushenzi huo utalipa gharama kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapata wapi ujasiri wa kumuita mwanamke wako ilhali hujafanikiwa kumvua chupi?
Binafsi sijawahi kumwita mwanamke mpenzi wangu kama hatujagusanisha vikojoleo.
 
Back
Top Bottom