Rylee
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 547
- 1,021
Unataka kitu gani kwa huyo binti ?
Nachukia sana wanaume type yako......kwanini utake kumchezea msichana wa watu
Jib unalo ccm buree ndipo ilipotufikisha![]()
![]()
..kwanini lakini??
Jib unalo ccm buree ndipo ilipotufikisha![]()
![]()
..kwanini lakini??
Hahahahaahahahahahaaaa umepanic bro.....sasa nasema hivi UNATAKA KUMCHEZEA PERIODKuna mstari apo juu nimeandika nataka kumchezea au ni kiherehere chako tu kinakusumbua.
Kula kwanza tunda.
Hahahahaahahahahahaaaa umepanic bro.....sasa nasema hivi UNATAKA KUMCHEZEA PERIOD
Mkuu umetoa yamoyoni aisee.Muache binti wa watu, unatamaa tu Huna lolote watu kama nyie sizipendi tabia zenu huna hata haya umuharibie tu binti wa watu future. Wewe tulia na familia yako sijui Wanaume wengine mkoje. Huoni aibu unaomba ushauri ili utushirikishe uzinifu wako bado ni dhambi na utavuna unachopanda. Muambie ukweli huyo binti na muache na maisha yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahaaaaa na nitamuambia sasa mwenyewe ili akuacheNipanic nini sasa,kuliwa lazma aliwe.
Ila huyu kaka ni hewa...as you said sisiemu bureJib unalo ccm buree ndipo ilipotufikisha
Duh unaishi na mwanamke ndani halafu unawaza upuuzi kama huo duh ....Kuna binti nimeingia nae mahusiano lakini bado sijavunja nae amri ya sita ila mimi nina mwanamke mwingine ambaye nimezaa nae mtoto mmoja na naishi nae.
Swali langu ni je nimueleze ukweli ili ajue yuko kwenye position gani au nikae kimya mpaka nitakapofanikiwa kumgegeda ndo nimueleze ukweli ? Hofu yangu ni kwamba nikimueleza ukweli anaweza akakimbia mazima.
Naombeni ushauri wenu.