mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,345
- 974
mbona mengine hukawahi uliza ndo uulize hili?
Tatizo siyo simu, tatizo ni mwanamke kujithaminisha kwa gharama ya simu. Mwanamke wa bei rahisi kama huyo, hafai kwa ndoa, labda kwa kupita tu.Jamani cm kitu kidogo sana mjomba, kwani ukimchukulia kitechno cha 150,000/= unapungukiwa na nini.
Sent from my HTC Desire 820s dual sim using JamiiForums mobile app
Asante sana Mkuu, maana umegusa kile ambacho nimekuwa najaribu kuwaelewesha. Kifupi ni kuwa hapo hakuna mapenzi yoyote isipokuwa hitaji la simu ambalo haliwezi kuwa msingi wa fungamano la kudumu kama ndoa. Period.Mie kabla ya kukushauri ningependa kujua Umri wa huyo Mwanamke???, na Elimu yake??? mana kwa hayo masharti alokupa sidhani kama ana uewelewa mzuri na kuwa mke mzuri wa kuja kukuushauri, au hata kuwa mama mzuri kwa watoto, Hivi ndoa inapimwa kwa simu kweli? Thamani ulompa anaifananisha na simu ya laki 2 au 3??? Nijibu hayo maswali mawili hapo juu ndio ntaweza kukushauri. japo nahisi kama hayuko serious na hata ukinunua simu anaweza asikukubali.
Nilihisi tu kuwa ni level hizohizo ila sikutaka kulisema kwa kuchelea kuonekana mbaguzi.Yuko na miaka 19,hakusoma viledarasa la 7
Hakutaja kipengele cha mwaka mmoja, labda kama kakizungumzia kwenye posts zingine.Amesha kuwa mpenzi wake kwa muda wa mwaka mmoja. Swali la kujiuliza ndani ya mwaka mmoja bado tu hajamsoma mpenzi wake au nini. Katika uhusiano wao huo je alishawahi kumnunulia japo basi hata simu mmoja?. Kama jibu hapana huoni ameona kuna sababu ya kuwa na hiyo simu kwa sasa.
ametaja mkuu soma baadhi ya reply zake humu kwenye uzi kasema wana mwaka mmoja na binti yuko na 19 yrs hivyo mean alianza kumdate akiwa na 18... hako si katoto tu. sie wakongwe hata siku moja huwezi kukuta tunaomba hivyo vitu.. simu ninayotumia nimenunua 680,000 na Ipad ya Apple ya laki 8..usitegemee mimi nikuombe ninunulie simu inabidi mtu mwenyewe wewe kama mwanaume ujiongeze..Hakutaja kipengele cha mwaka mmoja, labda kama kakizungumzia kwenye posts zingine.
Hizo replies, ndizo posts zingine nilizosema ambazo si ile thread kuu ya mwanzoni.ametaja mkuu soma baadhi ya reply zake humu kwenye uzi kasema wana mwaka mmoja na binti yuko na 19 yrs hivyo mean alianza kumdate akiwa na 18... hako si katoto tu. sie wakongwe hata siku moja huwezi kukuta tunaomba hivyo vitu.. simu ninayotumia nimenunua 680,000 na Ipad ya Apple ya laki 8..usitegemee mimi nikuombe ninunulie simu inabidi mtu mwenyewe wewe kama mwanaume ujiongeze..
Sawa nitamununuliaHilo tu moja ndo limekuwa kipimo cha upendo wake kwako?
mnunulie hiyo simu alafu uone itakuwaje,wakati nawe unajiridhisha juu ya mapenzi yake kwako
Kimeo nikununulie vits?.....jiongeze kidogoAcha tu shoga mimi niliwahi kuwa na bf ana drive ndinga kali mjini ana gari za kifahari kama Range, discovery lakini mpenzi wake hata ka vits nilikuwa sina. Vitu vingine wanaume muwe mnajiongeza nilimuacha sababu niliona huyu hakuwa na mimi kwa malengo.
km ulimkuta na magari yake ni sahihi asikupe hata baiskel,mpk ajiridhishe kua ulimpendea magari yake au lah!!. unasugua bench hata miaka mitano. labda uwe wife.Acha tu shoga mimi niliwahi kuwa na bf ana drive ndinga kali mjini ana gari za kifahari kama Range, discovery lakini mpenzi wake hata ka vits nilikuwa sina. Vitu vingine wanaume muwe mnajiongeza nilimuacha sababu niliona huyu hakuwa na mimi kwa malengo.