Naona nisehemu ya kukubaliwaNinatatizika kidogo, hiyo simu ya touch ni sehemu ya mahari au ni sehemu ya awali ya masharti ya kukubaliwa? Maana naona kama kuna utoto fulani hivi.
sawa mkuuSharti la kwanza la muolewaji ni la kawaida tu, anapenda simu ya touch ndio mana kakuomba mume wake mtarajiwa umnunulie
Sharti la pili la sio Sharti kwanza ni desturi kumuoa lazima akupeleke kwa wazazi wake
Sijaona apo cha kukufikirisha sana mkuu labda kama kuna mengine
Alafu mke anaonekana hana makuu kabisa. . . Yani anaomba touch tu???!!
Muoe uyo
Kama ni hivyo, huyo mwanamke ni mfanyabiashara maana mtu kumnunulia simu mpenzi ni kawaida sana mkiwa katika uhusiano. Lakini swala la kuifanya simu kama kigezo na sharti la kukubaliwa kuwa mpenzi, moja kwa moja alieweka hilo sharti anadhihirika tu kuwa ni kahaba asiestahili kupewa hadhi tofauti na hiyo ya ukahaba maana kama hilo sharti halitatekekezwa, ni dhahiri kuwa hakuna jambo lingine linalomsukuma kukubali kuingia katika uhusiano na huyo alietakiwa kuleta simu.Naona nisehemu ya kukubaliwa
Ina maana bado haujajua kwamba ana kudanganya au n vpMi
mwaka mmoja
Huyu jamaa ana mengine tuSharti la kwanza la muolewaji ni la kawaida tu, anapenda simu ya touch ndio mana kakuomba mume wake mtarajiwa umnunulie
Sharti la pili la sio Sharti kwanza ni desturi kumuoa lazima akupeleke kwa wazazi wake
Sijaona apo cha kukufikirisha sana mkuu labda kama kuna mengine
Alafu mke anaonekana hana makuu kabisa. . . Yani anaomba touch tu???!!
Muoe uyo
Nadhan AngekufaAsa simu za touch si hata kwa elfu 70 tu unapata?mbona mashart marahisi sana hayo shehe?angekupa sharti la kumnunulia Vx kama ambavyo mimi nimekua nikiambiwa na hawa mashankupe wa mjini ingekuaje?
Jamani mbona haja taka bado kitu hiyo sikuiiz cm zipo mpaka za laki2 unashindwa kumchukulia mpenzi wako,kwanza kajishusha nasanaa amekuonea huruma,Mie ningeanza na Gari au kiwanja..Hamjambo wadau? Namuomba ushauri wenu wa busara. Mimi kuna Demu ambaye nilimpenda sana. Juzi nilipo mwambia bayana yangu kwake kuhusu MAPENZI kwa sababu nataka kumuoa alinipatia masharti mawali la kwanza aliniambia nimununulie Simu ya tach Sharti la pili anipeleke kwa wazazi wake. Sasa na hisi kuwa hajanipenda Bali anamathamanio ya vitu vya kidunia zaidi kuliko MAPENZI. Ushauri wenu kwangu ni mununulie hiyo Simu au niachane naye? Nisaidieni wadau huyu Demu ananiumiza kimawazo.
Kiongozi, huyo "hana uchumi". Ukiona mdada anaomba vitu petty kiasi hicho ujuwe tu huyo ni tegemezi kabisa.Hhahahahahahahaha...hii dunia hii...acha tu.
Najaribu kupata picha alivyokuwa anakupa masharti hayo...halafu mwishowe ukasema 'sawa'. Halafu ukatoka hapo ukaja huku kuomba ushauri. halafu kila mtu anakuita mbahili. halafu ukishamnunulia simu (na hutamnunulia tecno ya 70,000/-) ya laki tau, nne, hivi kabla hajakupeleka kwao anakutosa.
Hapa najaribu kuwaza tu...kigezo cha yeye kutaka kukupima kwa simu ni nini? Huwa humpi zawadi? Alishawahi kukupa zawadi? Umekuwa ukibadili simu mara kwa mara? Hali yake ya uchumi ikoje?
duh mkuu hebu changanya akli zako la sivyo ukitaka unbiased ushauri hapa basi useme kinagaubaga kuhusu uhusiano wenu...hali yake kimaisha na kiuchumi na ya kwako pia, muda mlioko kwenye mahusiano, ulimtongozaje, mambo ambayo mmekuwa mkishare na ambayo ni ya kila mmoja, nk nk...
mnunulie tu mkuu .. ila jiandae kisaikolojia tu lolote laweza tokea usije kufa