Habari wana MMU.Kwanza kabisa nafarijika sana kuwa mwanajukwaa hili...na huwa napata mengi sana kwa njia ya usomaji wa threads na comments...kiufupi jamii forums unifanya nismile most of the tym.
Tatizo langu kubwa linalonisibu ni upweke jaman.I had a bf lakin tukahitilafiana na kuachana kwa muda kama wa miez kumi sasa.Tatizo kubwa nnaloface...watu huwa hawaamini kuwa sina
mtu especially wakaka,mm ni mschana ninayejipenda kidogo...huwa najiweka smart kawaida na huwa najitahd sana niszdshe urembo ili tu niwe kawaida lakin imekuwa tabu.
Imefikia mahali naangalia umri nao unasogea,upweke nao unazd...marafik nao wanaanza kubanwa na majukum ya familia zao(kwa walioolewa) mpaka nafikia hatua ya kutaman kurudiana na yule kijana tulieachana!sasa najiuliza ntaanzaje?na yy ad leo c atakua na mtu?atanionaje?yaan...ata cjui nifanyeje...mapenz kwake yamebak kidogo sana....wakt mwngn najipa moyo labda nisubir tu atakuja...lakin najiuliza atakuja lin?na familia yangu ni ya kidikteta ata kutokatoka c sana...labda mchana,ebu nishaurin wana MMU
Tatizo langu kubwa linalonisibu ni upweke jaman.I had a bf lakin tukahitilafiana na kuachana kwa muda kama wa miez kumi sasa.Tatizo kubwa nnaloface...watu huwa hawaamini kuwa sina
mtu especially wakaka,mm ni mschana ninayejipenda kidogo...huwa najiweka smart kawaida na huwa najitahd sana niszdshe urembo ili tu niwe kawaida lakin imekuwa tabu.
Imefikia mahali naangalia umri nao unasogea,upweke nao unazd...marafik nao wanaanza kubanwa na majukum ya familia zao(kwa walioolewa) mpaka nafikia hatua ya kutaman kurudiana na yule kijana tulieachana!sasa najiuliza ntaanzaje?na yy ad leo c atakua na mtu?atanionaje?yaan...ata cjui nifanyeje...mapenz kwake yamebak kidogo sana....wakt mwngn najipa moyo labda nisubir tu atakuja...lakin najiuliza atakuja lin?na familia yangu ni ya kidikteta ata kutokatoka c sana...labda mchana,ebu nishaurin wana MMU