miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
basi na wako ujue analiwaHapo kwenye madada wa wenzetu! Dah....ila Hakuna namna....
basi na wako ujue analiwaHapo kwenye madada wa wenzetu! Dah....ila Hakuna namna....
Asma huwa napenda sana ushauri wako kila sehem unapochangia!!Mdogo wako ana umri gani kwani? Muite mwambie hukupendezewa na ulichokiona, mkanye umpe hasara za hao vijana, kama anasoma umsisitizie kukazania masomo, mkumbushe kuhusu mimba na maradhi, usitumie hasira ila kuwa serious katika hayo maongezi, ukimaliza mfate yule kijana kaa nae umfahamishe kuwa hutapenda kumuona tena akiwa na mdogo wake, siku ukimuona utamfungulia kesi n.k. vitisho vya kawaida mpe, huyo mvulana mpe mkwara wa kisawa sawa, ila dada ongea nae kwa busara, mana sie watoto wa kike ukiongea kwa hasira ndo kama atakukomoa Zaidi kwa ulivyompiga au kumtukana yani ni kama unampa ujasiri wa penzi lake, ila ukiongea nae kwa busara kumuonyesha kiasi gani unampenda na hutaki aibu yoyote ataona huruma, na kuwaza mazuri unayomfanyia na upumbavu anaofanya, atajirekebisha na kuwa makini, na usione aibu kumeeleza anadeserve wanaume wa aina gani, mponde huyo kijana wake n.k.
hapo kweli inabidi atoe elimu aiseeSio mara zote, thats why anatakiwa aongee nae ili hata ajue hayo mambo kayaanza lini, then ampe elimu tu juu ya hilo alifanyalo na madhara yake.
Yaani hizi simu za pangusa ndio zimeleta majanga, siku hizi sio chipsi yai tenaHususan kwa maticha wa simu za pangusa.

Ya kumrejesha kijijini hiyo ndio anastahiliHaiwezekani hukumtembezea kichapo huyo kidume mwenye guts za kufika nyumbani kwako.
Anyway;
Unataka adhabu gani za zamani enzi zetu au za kisasa????
Kama unataka za kisasa...kaa chini zungumza na dada yako na bibi yako anayefuga hayo maradhi
Kama unataka za enzi zetu, una option mbili...1. Mrudishe kwa wazazi au kijijini
2. Mfukuze aende kwa huyo mwanaume
Kazi kwako
Kweli kabisa, wazazi tumejisahau mnooo ni kama watoto wanajilea wenyewe.hapo kweli inabidi atoe elimu aisee
yakishatokea ya kutokea ndiyo wanakuja kutoa ushauriKweli kabisa, wazazi tumejisahau mnooo ni kama watoto wanajilea wenyewe.
Angekuwa ni mdada mkubwa hapo sawa unaweza kusema ujifikirie cha kufanya/kuomba ushauri..Ila katt cha la saba kweli unakuja kuomba ushauriYaani na polisi utapelekwa, ila now akawatazamaaa, then akaondoka kwenda kijiweni, mwisho wa siku kaja kuomba ushauri afanye nini, daaah!! Raha kweli.
Wenda kikwao si busara kumkatisha mdogo wako Awapo ktk starehe.Yaani unemuacha dogo wa kiume bila hata kumchapa kibao....??? Ni udhaifu...!
hilo la saba kamaliza na umri gani...Mdogo kamaliza darasa la 7
Yaani sijaielewa akili ya mleta thread eti akawatizama kisha akaondoka hakika!!!!!!?????? Miaka 14 au ndo uzungu huu dah.Hivi kijitu kinaingia ndani mwako kutia najisi unakitizama tu, kwanini hukumchangamsha viganja japo tumakofi tuwili tu?
Yaani sijui huyu kaka mtu nae anaumri gani hata sijamwelewa kabisa.kwann usirud uendelee kuangalia Kama umeshindwa kuamua la kufanya.
subutuu hakuna kitu kinachouma kama dada yako kugegedwa, usikie tu kwa mwenzio hahhhahaahahakwani wewe hupewa adhabu unavyokwenda kugengenda wadada wa watu.muache apate raha
swissme
Duuh!!!Miaka 14 na mapenzi ya kanga moko anayajua tena seblen bila woga huyo mzoefu wala usipaniki, we ongea nae kwa utulivu tu atakuelewa.Ana miaka 14
jamaa kapigwa butwaa kumuona dada yake yuko chini tena na kanga nusu uchi.swali mbona yeye hudoo the same thing?subutuu hakuna kitu kinachouma kama dada yako kugegedwa, usikie tu kwa mwenzio hahhhahaahaha
Ha ha ha haaaaduh ampeleke shule tu aisee la sivyo ajiandae kuitwa mjomba