Sio the same thing Mpwa, pengine ni more than that..... namshauri aongee na dogo tu au atafute mtu wa kuongea nae kasha amuondoe hapo home maana Kinana mtu mzioma kuishi na Dada yako wakati mwingine huwa ni changamoto.jamaa kapigwa butwaa kumuona dada yake yuko chini tena na kanga nusu uchi.swali mbona yeye hudoo the same thing?
swissme
Halafu wewe ni mchokozi, umenifanya nimecheka vibaya ati mama Terry lol, Asante.Asma huwa napenda sana ushauri wako kila sehem unapochangia!!
Kwanini usiwe mama tery Jr?
Eeeeh bana uwe mama tery tu kuwaelimisha vijana mambo yanayohusu papuchiology!!Halafu wewe ni mchokozi, umenifanya nimecheka vibaya ati mama Terry lol, Asante.
Aiseee..!Mdogo kamaliza darasa la 7
Mwaka 2015S amesema hapo juu kuwa amemaliza darasa la saba, sasa sijui la saba ya 1985 au
Ulishindwa nn kutembeza kichapo kwa katoto kadogo namna hiyo???Mwaka 2015
ndiyo mana mm nimeona bora aendelee kuangalia labda wakimaliza Na yeye akili itamjia Na atakuwa Na maamuz tayariYaani sijui huyu kaka mtu nae anaumri gani hata sijamwelewa kabisa.
Vp mrejesho?Habari zenu wana JF!
Ninaomba ushauri kwenu, juzi nilirudi nyumbani muda ambao si kawaida yangu. Kawaida narudi kuanzia mida ya saa 1 moja jion. Juzi nilipofika ofisini niliitwa kwa MD akaniambia natakiwa kujiandaa kwa safari ya kikazi nje ya Dar. akaniambia nianze maandalizi ya safari. Nikaamua kurudi nyumbani.
Nilipoingia getini nikamkuta bibi amelala kwenye mkeka sikuona busara kumuamsha. Nikaingilia mlango wa jikoni, bahati nzuri haukufungwa kwa funguo. Nikaingia nilipofika sebuleni nikamkuta mdogo angu wa kike na kijana fulan wa hapa hapa mtaani wanalambana ulimi. Mdogo angu chini kidume juu amemlalia, mdogo angu alivaa khanga tu nayo ilifunguliwa.
Nilipatwa na mshangao kisha hasira sana, nikawatazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaamua kuondoka kwenda kukaa kijiweni bila kuwasemesha.
Naomba ushauri nimfanyeje huyu mdogo angu maana hadi sasa sijaongea nae.