Nikushauri tu mkuu kwa usalama wa uhai wako...Usijaribu siku ingine kurudi hme kwa kunyata never....Kuna kisa kimoja jamaa alikuwa anamwamini sana mke wake na walikuwa watani akamwambia mkewe leo sirudi hme nimepata dharura ndoa yao ndo ilikuwa changa first born alikuwa na miaka 3 hivi...Jamaa ilipofika mida ya saa 2 usiku akaurudi hme akafungua mlango wa sebulen ulikuwa wazi hakukuta mtu akaelekea chumbani kwao ili amfanyie wife Suprise, jamaa ile kufungua mlango wa kuchumba alianguka chini akapoteza fahamu hse girl akapiga ukunga watu kwenda wakamchukua jamaa hospitali baada ya masaa kadhaa jamaa akazinduka akasema mke wangu kwa nini umenifanyia hvyo...Jamaa akazimia tena..wife ake nyuma akafungasha kila kitu akabeba na mtoto akala kona...Hse girl ndo akaachwa na ndo alitoa maelezo kuwa wife alikuwa na jamaa mwingine ndani...