Nimpe adhabu gani mdogo wangu?

Nimpe adhabu gani mdogo wangu?

Mdogo wako ana umri gani? Je, anasoma? Huna adhabu ya kumpa zaidi ya kumwambia madhara yanayotokana na ngono zembe. Mpe elimu kuhusu matumizi ya condom, na kujiheshimu.
 
Mtoa mada wewe ni KE au ME? Halafu wewe mzushi tu huna jipya kama ni kweli sio porojo wacha mdogo wako aliwe tu, Halafu ona ujuha wako we umerudi kufanya maadalizi kwa mujibu wa maelezo yako sasa mbona ukaenda kukakaa kijiweni? ??? Una kazi kweli wewe? Halafu it appears the actions of your sister ni matokeo ya vitendo vyako kuja kugegeduliwa/kugegedua humo ndani so na yeye akaona poa..........kidume kimemruka bi mkubwa wako nje hadi ndani kumla yo sister. Salaaaaale!
 
Habari zenu wana JF!

Ninaomba ushauri kwenu, juzi nilirudi nyumbani muda ambao si kawaida yangu. Kawaida narudi kuanzia mida ya saa 1 moja jion. Juzi nilipofika ofisini niliitwa kwa MD akaniambia natakiwa kujiandaa kwa safari ya kikazi nje ya Dar. akaniambia nianze maandalizi ya safari. Nikaamua kurudi nyumbani.

Nilipoingia getini nikamkuta bibi amelala kwenye mkeka sikuona busara kumuamsha. Nikaingilia mlango wa jikoni, bahati nzuri haukufungwa kwa funguo. Nikaingia nilipofika sebuleni nikamkuta mdogo angu wa kike na kijana fulan wa hapa hapa mtaani wanalambana ulimi. Mdogo angu chini kidume juu amemlalia, mdogo angu alivaa khanga tu nayo ilifunguliwa.

Nilipatwa na mshangao kisha hasira sana, nikawatazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaamua kuondoka kwenda kukaa kijiweni bila kuwasemesha.

Naomba ushauri nimfanyeje huyu mdogo angu maana hadi sasa sijaongea nae.
daah kama kamaliza la saba hata kibano mpe then mpige mkwara mkali sana aisee coz bado mdogo sana...ila sema kama ameshaanza hizo habari mkuu kwakweli un mtihani..kulea vibinti vidogo ni kaz sana aisee...halafu ongea na huyo bibi yake ne haiwezekan mtoto anafanya uchafu ndan yy hajui
 
alishindwa kutoa kadi na mchezaji anauliwa uwanjani...
Kesho atakuja WANAJAMVI naomben ushaur mdogo wangu ana mimba ya wik3 nimtoe ama lah?kwan aliyempa mimba n kjina wa mitaan hana mbele wala nyuma.
 
Huyo kwanza hajiheshimu.
Yaan sebuleni. Muweke chini umueleze mambo hayaendi hvyo.
 
Mimi nina hasira sana. Nilishalala polisi mara kadhaa. Nilipewa ushaur nasaha kuwa nikiwa ktk mazingira shawishi niondoke. Navyojijua ningewavunja
 
Mimi nina hasira sana. Nilishalala polisi mara kadhaa. Nilipewa ushaur nasaha kuwa nikiwa ktk mazingira shawishi niondoke. Navyojijua ningewavunja
Tunarudia tena ana umri gani?
 
Nikushauri tu mkuu kwa usalama wa uhai wako...Usijaribu siku ingine kurudi hme kwa kunyata never....Kuna kisa kimoja jamaa alikuwa anamwamini sana mke wake na walikuwa watani akamwambia mkewe leo sirudi hme nimepata dharura ndoa yao ndo ilikuwa changa first born alikuwa na miaka 3 hivi...Jamaa ilipofika mida ya saa 2 usiku akaurudi hme akafungua mlango wa sebulen ulikuwa wazi hakukuta mtu akaelekea chumbani kwao ili amfanyie wife Suprise, jamaa ile kufungua mlango wa chumba alianguka chini akapoteza fahamu hse girl akapiga ukunga watu kwenda wakamchukua jamaa hospitali baada ya masaa kadhaa jamaa akazinduka akasema mke wangu kwa nini umenifanyia hvyo...Jamaa akazimia tena..wife ake nyuma akafungasha kila kitu akabeba na mtoto akala kona...Hse girl ndo akaachwa na ndo alitoa maelezo kuwa wife alikuwa na jamaa mwingine ndani...
 
Back
Top Bottom