Nimkwepe vipi huyu mama ntilie?

Nimkwepe vipi huyu mama ntilie?

unajidanganya kakuganda na ni mama ntilie? kwa taarifa yako hakugandi anagandisha biashara yake hivyo mpo wengi
 
Njia nyepesi bila gharama no kujiua MKUU utakuwa umemwepuka milele kuliko ukisema unahama mnaweza kukutana
 
Wakuu,

Kuna mama ntilie flani hapa Arusha kaniganda hatari,nilikuwa na lengo la kuchapa tu na kuingia mitini,lakini naona kaniganda na hana mpango hata wa kuachana na mie.

Kiumri kanizidi kama miaka mitano,ana mtoto mmoja wa miaka 7,elimu kaishia la saba,sasa mimi mtu wa hivyo nimpeleke wapi wakuu.

Nipeni mbinu za kumkwepa kisayansi.
Wewe unaijidhani msomi huna tofauti yeyote na mtu ambae hajamaliza hata darasa la saba. Nina hakika na darasa la saba lake huyo mama kwa kupitia kazi yake anaweza kumlea mtoto wake bila ya tabu yeyote. Kwa tamaa zako za kipumbavu umemrubuni akadhani unampenda, kakukubali sasa ushatimiza dhamira yako unaanza kumdhalilisha kwa elimu yake duni na kazi yake. Kama wewe wa hali ya juu sana kwanini usiende kula Holiday Inn unashindia hapo hapo kwa mama ntilie.

Kwani ulipolala nae alikuwa na tofauti yeyote na mwanamke wa ofisini mwenye degree? Msipende kudhalilisha watu kutokana na hali zao kijamii au kielemu.
 
Wewe unaijidhani msomi huna tofauti yeyote na mtu ambae hajamaliza hata darasa la saba. Nina hakika na darasa la saba lake huyo mama kwa kupitia kazi yake anaweza kumlea mtoto wake bila ya tabu yeyote. Kwa tamaa zako za kipumbavu umemrubuni akadhani unampenda, kakukubali sasa ushatimiza dhamira yako unaanza kumdhalilisha kwa elimu yake duni na kazi yake. Kama wewe wa hali ya juu sana kwanini usiende kula Holiday Inn unashindia hapo hapo kwa mama ntilie.

Kwani ulipolala nae alikuwa na tofauti yeyote na mwanamke wa ofisini mwenye degree? Msipende kudhalilisha watu kutokana na hali zao kijamii au kielemu.
kwa hyo ushauri wako ni nin?
 
Anaweza akawa ameishia darasa la saba lakini kichwani yuko vizuri kuliko aliyefika chuo. Pili wewe unataka mapenzi au elimu. Elimu ya mwanamke itakusaidiaje kwa mfano.
Hao wenye phd ndio wanao waliza kila siku humu, wakati unamtongoza hukujua elimu yake au ulimpeleka wapi hapo mwazo mpaka sasa utuulize sie ati utampeleka wapi? Na hilo litakuja kukurudia tu tena utakuja achwa na huyo wako mwenye degree, atajiuliza hivyo hivyo hili boya nilipeleka wapi na wenzio watakumegea, acha dharau, ogopa chozi la mwanamke.
 
Msalimie mwanao hakikisha unampeleka shule, miaka7 mingi ujue mmekuza!
 
Acha uboya la saba na pusy wapi na wapi sasa
Inaonekana kabisa yeye ndio kamganda dada wa watu.
Halafu wewe una masters halafu una fall in love na mama ntilie darasa la saba unajiona wewe ni bora kuliko, hiyo masters yako itakuwa ya ujinga.

Kusoma kufika phd au elimu yoyote ya juu si ujanja wala si jambo la kujivunia sana ni baraka tu au neema umepewa kutokana na mazingira fulani.

Wapo watu ni la saba lkn wana akili sana na hawakubahatika kupata nafasi hizo kutokana na sababu mbalimbali na hao Mungu kawajalia kwa namna nyingine.

Huoni kazi yake inamfanya anaishi, anakula vizuri, anavaa vizuri hadi wewe umempenda?? Je ukimfungulia restaurant nzr zaidi si atapafomu zaidi na kipato anaweza kukuzidi?

Hapa ndipo wanaume kibao huwa kinatugeukia
 
hatari sana msosi wa bure papuchi ya bure lazima ujenge gorofa
 
hii ndio picha halisi ya wanaume wa tanzania
 
Back
Top Bottom