Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,836
Asubuhi njema mkuu[emoji12][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah
Asubuhi njema mkuu[emoji12][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah
Una uliza ni wazi huyu ni gold digger aka Mario,kala misosi ya watu sa hivi anajidai kukimbia.mwehu huyuAnaweza akawa ameishia darasa la saba lakini kichwani yuko vizuri kuliko aliyefika chuo. Pili wewe unataka mapenzi au elimu. Elimu ya mwanamke itakusaidiaje kwa mfano.
Na kwako pia mkuu... Vipi kwema lakiniAsubuhi njema mkuu[emoji12]
Kwema tu mkuuNa kwako pia mkuu... Vipi kwema lakini
Kwani mbinu za kumpata ulizipata wapi?Wakuu,kuna mama ntilie flani hapa arusha kaniganda hatari,nilikua na lengo la kuchapa tu na kuingia mitini,lakin naona kaniganda na hana mpango hata wa kuachana na mie.kiumri kanizidi kama miaka mitano,ana mtoto mmoja wa miaka 7,elimu kaishia la saba,sasa me mtu wa hvyo nimpeleke wapi wakuu.nipeni mbinu za kumkwepa kisayansi.
Vizuri sana kama ni kwema mkuuKwema tu mkuu
hapo poa mkuu,nimekusoma vizur kabisa.ngoja nitajitahdi kuapply hii methodology.Fanya hivi mvutiee moraliiii andaa mechi kwa Mara ya mwisho piga goliiiii ka sitaaa hivii ukimaliza muage gafla kuwa unaondoka hata kama ni saa 8 ya usiku hapo ndo malumbano yatakapo anzia but usipaniki then ondoka game kushineii akikutafita usijibu wala kupokea sms zakee