Asa kumbe neneeeeBigi buti lava[emoji3]
Afadhali hata wewe hujasema wanaume wa Dar es Salaamhii ndio picha halisi ya wanaume wa tanzania
Alafu Mimi sijamuona wa LA saba akidhalilika kiasi kile aiseee.Wewe mwenye elimu kubwa kutwa upo mitandaoni kutunga vijistory vya uongo. Unadharau darasa la saba wakati wewe umemjua kupitia hiyo kazi yake. Kwani hiyo sio kazi halali?. Pia yeye kua darasa la saba hakuondoi ubinadamu wake, mbona kwenye mitandao tumemuona msomi wa PHD analalamika maisha ya mtaani yalivyo magumu?
Shida iko wapi kwani kuna papuchi tofauti ya darasa la Saba na chuo