Nimfanyie Nini huyu Mwanamke?

Nimfanyie Nini huyu Mwanamke?

Ulimbikiri. Wewe ndiye uliyeifungua ile njia takatifu ya agano. Njia ielekeayo katika kiini cha uumbaji na utangamano wa kimalimwengu. Wewe ndiye! Na yeye ndiye! Ni nyinyi!

Na huyo ndiyo mke wako halali kiagano. Hiyo ya kuua kichanga chenu tubuni na Mungu Atawasamehe. Kisha muoneni mshauri nasaha mzuri awasaidie jinsi ya ku-deal na hiyo sense of guilty ambayo pole pole itaisha hasa baada ya kutubu kwa toba ya kweli na kuachilia.

Baada ya kuhakikisha kuwa mko sawa kisaikolojia basi anza mikakati ya kumuoa huyo binti. Na msameheane kabisa kabisa kwa yote mliyotendeana huko nyuma - never ever to be brought up again. Huyo ndiyo mke wako kiroho kamanda.

Usipouzingatia ushauri huu hutakaa uwe na amani katika ndoa yako na utakuwa mtu wa majuto tu na mikosi kwako wewe, familia yako na kizazi chako.

Nenda ukaanzishe familia na huyo binti. Huyo ndiye soulimeti wako; na hutakaa upate mwingine hasa katika kipindi hiki. Nawaombea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
20250822_231250.png
 
Fanya mpango muoane tuu mtengeneze familia ndio fadhila kubwa utakuwa umemfanyia
 
Ulimbikiri.

Huyo ndiyo mke wako halali kiagano. Hiyo ya kuua kichanga chenu tubuni na Mungu Atawasamehe. Kisha muoneni mshauri nasaha mzuri awasaidie jinsi ya ku-deal na hiyo sense of guilty ambayo pole pole itaisha hasa baada ya kutubu.

Baada ya kuhakikisha kuwa mko sawa kisaikolojia basi anza mikakati ya kumuoa huyo binti. Na msameheane kabisa kabisa kwa yote mliyotendeana huko nyuma - never ever to be brought up again. Huyo ndiyo mke wako kiroho kamanda!

Usipouzingatia ushauri huu hutakaa uwe na amani katika ndoa yako na utakuwa mtu wa majuto tu na mikosi kwako wewe, familia yako na kizazi chako.

Nenda ukaanzishe familia na huyo binti. Huyo ndiye soulimeti wako; na hutakaa upate mwingine hasa katika kipindi hiki. Nawaombea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
View attachment 3449621
Daa this is my best comment,,ntafanya hivyo mkuu, what if nkitaka kumuona yeye akakataa?
 
Hello,

Nimekuja kwenu ndugu zangu naomba mnipe mawazo yenu, naomba mnishauri kama ndugu au rafiki yenu. Sitaficha chochote.

Nilimaliza chuo miaka kama 5 iliyopita nkapata kazi private after two years kazi ikaisha.

Nilifungua bihashara ikadumu mwaka mmoja then ikafilisika, baada ya hapo nilipigika sana. Nilipigika Ile aswaaa, nilikonda Hadi mahitaji muhimu nilikosa.

Mwaka 2023 Kuna Binti tulikuwa tunafahamiana muda ila mwaka huo tukakoleza mawasiliano, huyu Binti tuliishi mikoa tofauti. Na nilimficha Hali yangu ya maisha.

Basi sijui uyui Binti alikuwa na upwiru au barehe, she was around 23yrd by that year. Yule Binti alinipenda hatari na sikuwahi mtumia Hela.

Kimbembe kikaja anataka niende mkoani kwake, hapo alikuwa kapata kazi private,,, basi mtoto alitaka sana niende mkoani kwake lakini sikuwa ata na mia. Nilikwepa nkakwepa ila mwisho nkaamua kusema ukweli kuwa sina ata mia.
Alipokuwa anaenda kikazi hakusita kumuachia Hela ya matumizi na zawadi kama zote

Mala paaa Binti akanitumia nauli, ikabidi niende mkoani kwake, nilipofika alinipokea vzr mnoo. Usiku ulipofika lah hau lah nilikuta Binti ni BIKRA hajawai fanya mapenzi.

Daa basi nkamtoa BIKRA yake nilikaa wiki then Binti akanipa nauli nkarudi mkoani, baada ya mwezi Binti alikuwa ameapply ajira za Tamisemi, akapangiwa kazi serikalini.

Kwa kua sikuwa na mia nkamshawishi Binti nimsindikize afu ntafute fulsa uko alikopangiwa. Kumbuka sikuwa na mia mfukono, tulivyofika uko alikopangiwa sikuwa na mishe yeyote,binti akawa anaenda kazini mie nabaki Ndani. Nilikaa na yule Binti silipi chochote sio Kodi, umeme,maji, chakula Kila kitu alikuwa analipa Binti.

Yule Binti alinistili sana, tulikuwa tunaishi kisera hatukutambulishana. Nikiri nilimpenda sana yule mwanamke. Baada ya miezi mitano yule Binti alipata mimba, aisee yule bidada alichanganyikiwa hatari.

Yaani alipata kazi akiwa mdogo na kwao wazazi wake ni viongozi wa dini, yule Binti alimanusra awe crazy,, alitaka kutoa nkagoma ,kazini kwao walikuwa wanampiga majungu kuwa atatokaje na jobless, Yaani alikuwa kama kachanganyikwa, lakini badae alitoa Ile mimba.

Then after nilipata kikazi private nkahama halmashauri nyingine,,baada ya kutoa mimba ni kama tulipata raana,, Yaani mahusiano yalikosa amani Kila siku ni ugomvi, ugomvi, ugomvi, baada ya miezi michache tukaachana

Baada ya kuachana niliumia hatari, nkaendelea ku fight,na mimi Mwenyezi Mungu akanibariki nkapata kazi nzuri tu.

Sasa Kila nkikumbuka fadhila,wema, na kunistrili Kwa yule Binti huwa natamani nilipe ata fadhila kidogo Kwa yule Binti. Yaani nilidate nae Hadi tukaachana sikuwai kumnunulia ata chupi, lakini sio kwamba nilitaka Bali ni umasikini niliokuwa nao.

Sahivi tunawasiliana fresh tu, anasisitiza bado yupo single.

Wakuu nilitamani nimnunulia zawadi yeyote huyu Binti Ili nilipe fadhila za wema alionitendea.

Je angekuwa ni wewe ungemfanyia Nini huyu Mwanamke? Au nivunge tu ihesabike alijitoa tu kwangu kama msaada hakuna aja ya shukrani.

Msaada jamani

N.B mie sio mwandishi mzuri.
mrudie upashe kipolo kidogo
 
Kuna jamaa aliwahi pata mwanamke aliyemsitiri akiwa hajajipata,, baada ya kumuweka ndani sasa, hakuna rangi hakuona, maokoto yakaanza kuingia mwanamke akawa anachukua na kuwekeza kwao,, kama anajilipa vile, ili asikoromewe akatumia ndumba kumuinamisha jamaa yake,, bahati nzuri jamaa ni moja ya wale watu wasiorogeka kirahisi kihivyo, mwishowe waliachana kwa ugomvi mkubwa,,,,


Jamaa aliamini kwakuwa mwanamke alianza nae akiwa hana kitu basi amvumilie,,, alizaa nae watoto 2

Kwahiyo usishsngae bikira Maria akabadilika kuwa delila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom