Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Hivyo anavyokuboa ndio utamu wenyewe.mwanamke kwenye sidiria na pichu ndio anasababisha imagination za hatari.Afu inasababisha usimzoee na kumchoka
 
screpa ila na wewe umezidi kila siku unataka kuonganisha vikojoleo akiwa bwawa unaanza kumlaumu..... siku moja moja kwa umakini mkubwa piga game za mchangani

Nataka nichonge kitanda kingine, maana nikilala na shemeji yako kilasiku mashine inaamka
 
Last edited by a moderator:
we mpekenyue tyuu...kwani hakuna namna nyingine, kwani
yawezekana ndo stimu zake zilipo lalia.

N:B.
Lakini kama yuko danger days "yuko uvinza" basi una mkaushia.

nikimpekenyua anaweza nilamba kofi maana ni mkali hataki ujinga
 
mkuu hiyo ni theory ipi inayosema kuwa ukila sana mzigo siku za kuishi
zina ongezeka..? maana nimeona inaweza saidia hiki kizazi chetu...

kuna mzee mmoja wa kitaa alinipa huo mchapo, na najua wazee huwa hawadanganyi
 
Ficha vyupi vyote, unampa moja moja akitaka kutoka akiwa nyumbani marufuku kuvaa ....
Sijui watu wanapendea nini vyupi sivipendi

nimekupenda bure Evelyn Salt wewe ndo ulifaa sasa kuwa mkewangu
 
Last edited by a moderator:
Huwa wanasema dunia ya sasa imebadilika mno, kwa maana ya kuwa walimwengu wamebadilika sana, mambo kama haya kwa wanaume/wanawake kwenye ndoa ni mambo ya ndani na kwa namna moja ama nyingine si busara ku expose vitu kama hivi kwenye public hata kama hufahamiki, lets be serious wazee, kuna mambo ya ku discuss humu na mengine mnayamaliza wenyewe ndani, hiyo ndiyo inakuweka uwe mwanaume/mwanamke uliyeiva kuwa mume ama mke wa mtu, sio mara ooh.. mke wangu anajamba sana .. mara nimenuniwa .. Hell no...

sawa baba ushauri
 
Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?

Acha utoto na wwe! akivaa we unamvua kila cku hvyohvyo atachoka na ataacha mwenyewe!
 
Ahahahahahahah uwii iii dunia ina mambo kua uyaone duh! Sasa wengne ni jadi asipovaa anahs ad watu wa nje ya nyumb wamemwona uch wake istoshe wengne bleedng haztabilik kuna siku utataka uchomeke line kwa simu ili upge utakuta tatzo jngne la batter low.

hana tatizo la blid zisizo na mpangilio so hakuna excuse
 
Back
Top Bottom