Ndiyo mama, inaelekea kabisa kuzitumii kabisa isipokuwa panapo ulazima * (if am not mistaken, i stand to be corrected)
Ficha vyupi vyote, unampa moja moja akitaka kutoka akiwa nyumbani marufuku kuvaa ....
Sijui watu wanapendea nini vyupi sivipendi
Atavua kivuliwacho baada ya pichu....
marahabaDuh! Shkamoo
duh basi mnunulie G-stringmhh mi sitaki avae chochote miss chagga
hata mimi nimekumiss ujuemiss chagga nimekumis
Huwa wanasema dunia ya sasa imebadilika mno, kwa maana ya kuwa walimwengu wamebadilika sana, mambo kama haya kwa wanaume/wanawake kwenye ndoa ni mambo ya ndani na kwa namna moja ama nyingine si busara ku expose vitu kama hivi kwenye public hata kama hufahamiki, lets be serious wazee, kuna mambo ya ku discuss humu na mengine mnayamaliza wenyewe ndani, hiyo ndiyo inakuweka uwe mwanaume/mwanamke uliyeiva kuwa mume ama mke wa mtu, sio mara ooh.. mke wangu anajamba sana .. mara nimenuniwa .. Hell no...
Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?
Ahahahahahahah uwii iii dunia ina mambo kua uyaone duh! Sasa wengne ni jadi asipovaa anahs ad watu wa nje ya nyumb wamemwona uch wake istoshe wengne bleedng haztabilik kuna siku utataka uchomeke line kwa simu ili upge utakuta tatzo jngne la batter low.