Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Kuna tuchupi special for that occation vinaitwa tongs. Mnunulie utapenda.

Vipi mkuu hizo kyupi ni hiz hapa
attachment.php
 
Point nayo hyo, sasa ad mambo ya chumbn kunako 6*6 jaman aibu tupu! Tunacheka lakin ni kujdhalilisha kwa wakwe, jomba, aunt, wifi, shem, baba, mama n.k jukwaa kubwa sana
Huwa wanasema dunia ya sasa imebadilika mno, kwa maana ya kuwa walimwengu wamebadilika sana, mambo kama haya kwa wanaume/wanawake kwenye ndoa ni mambo ya ndani na kwa namna moja ama nyingine si busara ku expose vitu kama hivi kwenye public hata kama hufahamiki, lets be serious wazee, kuna mambo ya ku discuss humu na mengine mnayamaliza wenyewe ndani, hiyo ndiyo inakuweka uwe mwanaume/mwanamke uliyeiva kuwa mume ama mke wa mtu, sio mara ooh.. mke wangu anajamba sana .. mara nimenuniwa .. Hell no...
 
May be hujui kubembeleza / preparation za mwanzo <romance> unadandia kwa mabav alaf unataka umfanye kila siku kwan ng'ombe huyo?
 
Hiyo si kazi bana!!!unatakiwa uwe romantic bana!!...
Tena umvue kwa mdomo lol

Tehe tehe mdomo au meno... Maana unaweza ukawa na mdomo ila meno hakuna sjui atavua na ulimi
 
Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?
Kwani huwa anakataa kuvua unavyotaka naniino? Wengine hawajazoea kulala uchi.
 
Tena ke unapomvua kyupi huwa na kaaibu fulani amaizing,me nakapendaga sana.
 
I don't think it would kill you to write what people actually understand.
Right. And I don't think it would kill anyone, to ignore what they don't understand.

I say stuffs I say the way I say, cuz those who understand, are the people I really want to talk to, on that particular topic.
 
mazoea hayo..
hajazoea !
nenda nae taratibu na siku za game zikiwa za mara kwa mara..
chupi ataisaliti tu !
 
Back
Top Bottom