finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
Labda mwenzio anapenda kuvuliwa pichu so mvumilie tu
Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?
You Rock!! Hell yeah.Right. And I don't think it would kill anyone, to ignore what they don't understand.
I say stuffs I say the way I say, cuz those who understand, are the people I really want to talk to, on that particular topic.
Hahahah Yeaaah man i know your a J.cole fan
The kinds of fans which ussually walks with God but the devil keeps following
Mi nilivyokuwa naingia kwenye ndoa nilifurahi sana nikajua kula mzigo kilasiku ni uhakika, niliyoyakuta ni tofauti kabisa najuta kuoa haraka
Hahahaaaa mie hulala na trak suit, ndani kuna skin tite na chupi pia, sasa ingekuwa mimi ndio mkeo si ndio ungeandika talaka kabisa kama huyo wa chupi tu kakuudhi hadi unaomba ushauri!!
Nataka nichonge kitanda kingine, maana nikilala na shemeji yako kilasiku mashine inaamka
Sasa kwanini anipe kazi yote hiyo, this is not fair kabisa
Hahahaaaa mie hulala na trak suit, ndani kuna skin tite na chupi pia, sasa ingekuwa mimi ndio mkeo si ndio ungeandika talaka kabisa kama huyo wa chupi tu kakuudhi hadi unaomba ushauri!!
Kile kitu kinakaa katikati ya miguu kuna wakati kinakuwa kilain na kuna wakat kinakuwa kigumu uwii...kikiwa kigumu ndiyo kinaenda
Wakuu watu tunatofautiana, mimi huwa na enjoy zaidi akilala na nnapo ichojoa pichu mzuka hunipanda mara mbili, nakua nafeel kama vile navumbua dhahabu kwenye hazina
enheee,
post zako nlikuwaga nahisi nazifananisha. leo ndio nimeprove.
Dah basi sawa