Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Wewe baba ni mbakaji!!! Narudia tena wewe ni mbakaji. Mwenzio keshajua hilo ndio maana anakufantyia makusudi haswaa. Jifunze kumchezea kwanza na baadaye mvue wewe uone utakavyoenjoy game siku hiyo. Ttz la binadamu tukishazoeana tunafanya vitu kwa mazoea hii kitu SEX haina mazoea aisee yahitaji ufundi tofauti kila mara. Jifunze kumvua wewe

sawa mamito
 
Sio upumbavu ni wewe hujui utam wala ladha .Kuna aina ya vyupi ambazo wanawake waerevu wengi hupenda kuvaa anapolala,huwa na mvuto sana kwa mwanaume na iwe katika hali ya usafi na mvuto.unasogeza tu kwa pemben kitu kinapenya.
 
Hivyo anavyokuboa ndio utamu wenyewe.mwanamke kwenye sidiria na pichu ndio anasababisha imagination za hatari.Afu inasababisha usimzoee na kumchoka

Dah kumbe
 
Wakuu watu tunatofautiana, mimi huwa na enjoy zaidi akilala na nnapo ichojoa pichu mzuka hunipanda mara mbili, nakua nafeel kama vile navumbua dhahabu kwenye hazina
 
Wakuu watu tunatofautiana, mimi huwa na enjoy zaidi akilala na nnapo ichojoa pichu mzuka hunipanda mara mbili, nakua nafeel kama vile navumbua dhahabu kwenye hazina

Mvella jr we ni kama mimi yani raha iliyohoji
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom