sophyl
Senior Member
- Sep 27, 2015
- 111
- 89
nje ya mada wakati wa kuchomeka line c huwa kunakidubwasha unakitoa then ndio unachomeka au ndio umeshakikata
Naona anajitoa ufahamu tu
nje ya mada wakati wa kuchomeka line c huwa kunakidubwasha unakitoa then ndio unachomeka au ndio umeshakikata
nje ya mada wakati wa kuchomeka line c huwa kunakidubwasha unakitoa then ndio unachomeka au ndio umeshakikata
Mi nilivyokuwa naingia kwenye ndoa nilifurahi sana nikajua kula mzigo kilasiku ni uhakika, niliyoyakuta ni tofauti kabisa najuta kuoa haraka
Hihihi.. Na practice tutafanya lini? Nataka nipate "distinction"
It's not good man. You used a wink on me, and that's straight la-di-da-di vibes I'm never down with. I simply meant, VAMOOSE!! and let me be.
ofcoz my mazafaken niga
Hahahhahah nashukuru kwa kunisaidiaaaaa
Nilikitoa masikio yalikua yanawasha nikajichokonolea kikapoteaga
Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?
Nje ya Mada itabidi ufanyiwe upasuaji wa sikio kama kimepotea ndan ya sikio
yaan kunasiku alinitolea uvivu, yaani aliniambia maneno mazito na hayo pia yalikuwemo
yaan kunasiku alinitolea uvivu, yaani aliniambia maneno mazito na hayo pia yalikuwemo
ukiingia kwenye ndoa ni sharti ulale uchi, ila huyu mwanamke ni jeuri
mnunulie bukta
Hapo Sasa nimekuelewa, kumbe ukila Mara kwa Mara mnato unapotea?
Mkuu..nenda kwa kungwi wake kamweleza juu ya huo utata atakupa somo..!
choma moto zote akae hivyo