Sio kila siku unaingiza tu lain kweny simu kirahis hvyo! Kumtoa pichu napo ina raha yake banaa, ila usitoe kama mna ugomvi....
Dude! Can't cope, scroll past. Not the day, man.
Kila mtu na utaratibu wake, kuvuliwa chupi kuna raha yake pia
Naomba unifundishe kuwa romantic basi😉
Kuna simu nyingine unapitishia line kwa pembeni(ubavuni) haina haja ya kuchomoa ufuniko na betri mkuu, kama hii simu nnayoitumia hapa
Hata kuweka line katika simu lazima ufungue mfuniko wa cm utoe betri ndio uweke lain sasa kumvua pichu mpenzio iwe kazi:what: unapenda kitonga jamaa
Hhaahha kila siku? Hadi na kiungo kitaongea sasa lol. Wala unakula kama kawaida, ugomvi utaendelea afta kumaliza shughuli! Lol ila itategemea ugomvi gan
Hapana,, Nokia yangu lain mbili, ila moja nachomeka kwa pembeni.. Ubavuni Mwa simu
It's not good man. You used a wink on me, and that's straight la-di-da-di vibes I'm never down with. I simply meant, VAMOOSE!! and let me be.Yo that's good niggah.. Ila sijakuelewa mwanangu😉
Hahhaha ngoja nikuandalie notes, maana wew unahitaji uanze A..😜
Mi nilivyokuwa naingia kwenye ndoa nilifurahi sana nikajua kula mzigo kilasiku ni uhakika, niliyoyakuta ni tofauti kabisa najuta kuoa haraka