Nimfanye nini huyu office-mate?


Thanx a lot! advice appreciated
 
anza mtindo wa kumsifia sana mkeo na kumpigia simu kwa kumbembeleza mkeo maneno matamu.na hata mkeo anapopata nafasi mkaribishe akutembelee ofsn. huyo bidada atakata mazoea na kitamuumiza sana..
 
anza mtindo wa kumsifia sana mkeo na kumpigia simu kwa kumbembeleza mkeo maneno matamu.na hata mkeo anapopata nafasi mkaribishe akutembelee ofsn. huyo bidada atakata mazoea na kitamuumiza sana..

nishamleta ofisini si mara 1, ni zaidi ya mara 3 lkn haijasaidia! labda nikuulize situation kama hii inafaa kuisimulia hm kwa yf ama?
mimi mke wangu
 
anza mtindo wa kumsifia sana mkeo na kumpigia simu kwa kumbembeleza mkeo maneno matamu.na hata mkeo anapopata nafasi mkaribishe akutembelee ofsn. huyo bidada atakata mazoea na kitamuumiza sana..

Code:
mimi mke wangu nishamleta ofisini si mara 1, ni zaidi ya mara 3 lkn haijasaidia! labda  nikuulize situation kama hii inafaa kuisimulia hm kwa yf ama?
 
PHP:
daah, itabidi nianze na reahearsals za kutosha
 
ndio video ya aina gani hiyo? nataka kufahamu

hii inaoyesha ni jinsi gani pilau inavyopikwa...labda slim5 atueleweshe zaidi maana hata mimi sielewi!!
 
Last edited by a moderator:
Na ukichelewa anakubaka ofcn ndio ukome...maana ishara zote keshamaliza.
 
Tunga stori ya dem mtaani anayekutega then muelezee huyo ofc mate. Wakati unamuelezea ponda mbaya tabia ya wadada kukutega na jinsi ambavyo huna mpango wa kumcheat mkeo na msifie mkeo sana... yani full kufagilia ataupata ujumbe. Elezea jinsi ambavyo unawadharau wanawake wanaojileta kwako huku wanajua umeoa yaani haribu. Asipoelewa tena basi katumwa!
 
Mpotezee tu akakuuliza kunanini hapo mwambie ukweli jinsi anavyokukera.
 
Kwani mkuu huyo Dada kaolewa? Km ajaolewa mfanye ile nyumba ukiingia lzm uiname
 
Nimecheka pale kwenye tabia za watu wa mkoa ambao hautakiwi kutoa "mkulu" wa kaya, kwani tabia zao zikoje?
 

Mshirikishe hii thread akiisoma atakuwa kaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…