Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 593
- 70
Hamna camera, na mimi mwenywe ushanivunja mbavu Mkuu!
haaahaa! Abrashada kinta laba kinta abra kinta shaba kinta..!
Nena hivi kwa lugha huku umemshika kichwaa! Ana pepo na shuka hadi kiunoni. Ushike vizuri kabla pepo halijashukia hapo kutoka kichwani.! Oyooo! Kamatia nanga hyo ikuzamishe.!