Nimfanye nini huyu office-mate?

Nimfanye nini huyu office-mate?

usikae kimya utaongeza ukubwa wa tatizo km hupendi michezo hiyo.;

tafuta muda hata wakati wa lunch umweleze tu kwa ustaarabu, akuelewe msimamo wako
 
tuambie ni ofisi gani tuje tumuone kabisa...

eye to eye advice is good!
 
mpe makav laiv aone huna mpango nae ucpoangalia atakuvunjia ndoa yako,ukicheka na nyan utavuna mabua
 
Umeshakolea wewe!!!
Hapa wadau wanatwanga maji kwenye kinu tu ila unajua cha kufanya.
 
Ndo hivyo sasa, hata akija kavaa chachandu kichwani, achana nae wala usimuulize kitu, mwisho atajiona mjinga, atarudisha heshima kama zamani


Ni kweli sintapungukiwa na kitu, ila nataka kuweka mipaka ya heshima baina yetu! namna ambavyo yeye anajiweka itachora taswira ya ss sote tulivo hapa ofisini kwetu!
 
Wana - JF nawasalimu sana!

Mwenzenu nina mtihani! Hapa ofini kwangu ni na bidada mmoja (ni mrembo wa haja tu, anatoka ule mkoa karibu na Dodoma na wadada wa mkoa huo wana ile sifa kama ya ule mkoa wa kanda ile isiotakiwa kutoa Mkulu). Ni mfanyakazi mwenzangu, tuliajiriwa mwezi mmoja, tumeishi kwa miaka mi3 kama kaka na dada, huku tukiheshimiana sana! Kama mnavyojua ofisi za serikali, huwa tunashirikiana sana katika mambo mengi sana ya kiofisi kuanzia kushare stories mpaka kupeana ushauri, asipokuwepo nafanya kazi zake, nisipokuwepo anafanya kazi zangu! Tunashirikiana ktk NIDO, majani ya chai, maji ya kunywa, vitafunio - hivi huwa tunapewa na ofisi, mpaka nauli!

Katika lunch pia hivo hivo, nina hela namuagizia lunch box, na yy akiwa nazo hivo hivo! Yaani tumekuwa dada na kaka wapenzi mpk ofisi zingine wanatuonea wivu! Wakati ofisi zingine wanashindana umbea na majungu, sisi kwetu ni kupendana na kujaliana! wakati mwingine majungu yakiwazidia wenzetu huwa wanakuja ofisini kwetu kupata relief!

Mimi nimeoa na yeye ameolewa! Mwenzangu ndoa yake ina mtihani, hawajabahatika kupata mtoto! Bahati mbaya ni kuwa, bi dada umri umeenda! Mimi amenizidi 2 years! Mimi kwa upande wangu mungu amenijaalia watoto wawili! Mwanzoni kabla sijamsoma, ilikuwa rahisi mimi kumueleza ama kupiga story kuhusu watoto, reference kwa wanangu! Kumbe mwenzangu moyoni alikuwa anaumia sana! ktk story zote tunazopiga, hizi za watoto hazipendi! zinamchoma! Baada ya kujua na mimi nimeacha kumuelezea lolote lile kuhusu watoto wangu! Hata kama naenda hospital kupeleka mtoto, basi yeye nitamuambia naenda k'koo ama posta, ili tu nisimuumize!

Sasa balaa ni hili hapa! Kaja na mpya!
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!

Hapo kabla alikuwa ni mpenzi wa sketi ndefu na blauz za kuficha matiti, siku hz ni mwendo wa vimini na blauz za manyonyo nje! Mbona nakoma mwenzenu!Siamini kama ananivalia mimi ama mwengine, lkn kazi ninayo! Na pia kesi za kuitwa nikamsaidie kitu ktk computer yake sk hz zimekuwa kibao, hasa za kumwelekeza program mbali mbali, tena wkt mwingine anakuja kwangu kuniinamia nimuelekeze, nakomaje! manyonyo yote, tiiii kwangu!

Likaja la kuonyeshwa chachandu! mimi sijui kama tangu zamani anavaa ama ameanza kuvaa siku hz, na kama anavaa siku hz, ananivalia mimi ama mr wake, mm sijui! ila kila siku naonyeshwa chachandu, lazima nionyeshwe chachandu, kama si asubuhi basi mchana! na anajua style nzuri za kunionyesha chachandu zake! tena anajua kuchagua, zinamkaa vzr kweli kiunoni! (bahati mbaya hajui kama mimi ni ugonjwa wng, hii bidhaa mimi huwa naumwa nikiiona! daah kila m'me na madhaifu yake jamani)

Yote kwa yote mimi si mfuasi wa michepuko! Na bado tunaheshiana sana, japo nimeshaanza juhudi za kupunguza mapenzi ya udada-ukaka ili huko mbele yasije yakawa mazito! Shida yangu wanaJF, naomba mnisaidie njia sahihi ya kumuomba kama ananitega, basi mimi hapana, siko huko! anionee huruma, coz mateso ninayopata, kila siku nakuwa wa kwanza kusepa ofisini na wa mwisho kuingia, na hii inanipunguzia ufanisi kazini! Nambieni nitumie njia gani ili nimrekebishe na turudi ktk undugu wetu kama zamani, nia yangu ujumbe umfikie japo naogopa mashushu ya bimdada! Msaada jamani!
we chepuka kaka haina foleni hiyo
 
Jarb kua nae karb zaid umdadis atakuambia kama anahtaj mtt au la!hapo na ww akil kumkichwa
 
Wana - JF nawasalimu sana!

Mwenzenu nina mtihani! Hapa ofini kwangu ni na bidada mmoja (ni mrembo wa haja tu, anatoka ule mkoa karibu na Dodoma na wadada wa mkoa huo wana ile sifa kama ya ule mkoa wa kanda ile isiotakiwa kutoa Mkulu). Ni mfanyakazi mwenzangu, tuliajiriwa mwezi mmoja, tumeishi kwa miaka mi3 kama kaka na dada, huku tukiheshimiana sana! Kama mnavyojua ofisi za serikali, huwa tunashirikiana sana katika mambo mengi sana ya kiofisi kuanzia kushare stories mpaka kupeana ushauri, asipokuwepo nafanya kazi zake, nisipokuwepo anafanya kazi zangu! Tunashirikiana ktk NIDO, majani ya chai, maji ya kunywa, vitafunio - hivi huwa tunapewa na ofisi, mpaka nauli!

Katika lunch pia hivo hivo, nina hela namuagizia lunch box, na yy akiwa nazo hivo hivo! Yaani tumekuwa dada na kaka wapenzi mpk ofisi zingine wanatuonea wivu! Wakati ofisi zingine wanashindana umbea na majungu, sisi kwetu ni kupendana na kujaliana! wakati mwingine majungu yakiwazidia wenzetu huwa wanakuja ofisini kwetu kupata relief!

Mimi nimeoa na yeye ameolewa! Mwenzangu ndoa yake ina mtihani, hawajabahatika kupata mtoto! Bahati mbaya ni kuwa, bi dada umri umeenda! Mimi amenizidi 2 years! Mimi kwa upande wangu mungu amenijaalia watoto wawili! Mwanzoni kabla sijamsoma, ilikuwa rahisi mimi kumueleza ama kupiga story kuhusu watoto, reference kwa wanangu! Kumbe mwenzangu moyoni alikuwa anaumia sana! ktk story zote tunazopiga, hizi za watoto hazipendi! zinamchoma! Baada ya kujua na mimi nimeacha kumuelezea lolote lile kuhusu watoto wangu! Hata kama naenda hospital kupeleka mtoto, basi yeye nitamuambia naenda k'koo ama posta, ili tu nisimuumize!

Sasa balaa ni hili hapa! Kaja na mpya!
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!

Hapo kabla alikuwa ni mpenzi wa sketi ndefu na blauz za kuficha matiti, siku hz ni mwendo wa vimini na blauz za manyonyo nje! Mbona nakoma mwenzenu!Siamini kama ananivalia mimi ama mwengine, lkn kazi ninayo! Na pia kesi za kuitwa nikamsaidie kitu ktk computer yake sk hz zimekuwa kibao, hasa za kumwelekeza program mbali mbali, tena wkt mwingine anakuja kwangu kuniinamia nimuelekeze, nakomaje! manyonyo yote, tiiii kwangu!

Likaja la kuonyeshwa chachandu! mimi sijui kama tangu zamani anavaa ama ameanza kuvaa siku hz, na kama anavaa siku hz, ananivalia mimi ama mr wake, mm sijui! ila kila siku naonyeshwa chachandu, lazima nionyeshwe chachandu, kama si asubuhi basi mchana! na anajua style nzuri za kunionyesha chachandu zake! tena anajua kuchagua, zinamkaa vzr kweli kiunoni! (bahati mbaya hajui kama mimi ni ugonjwa wng, hii bidhaa mimi huwa naumwa nikiiona! daah kila m'me na madhaifu yake jamani)

Yote kwa yote mimi si mfuasi wa michepuko! Na bado tunaheshiana sana, japo nimeshaanza juhudi za kupunguza mapenzi ya udada-ukaka ili huko mbele yasije yakawa mazito! Shida yangu wanaJF, naomba mnisaidie njia sahihi ya kumuomba kama ananitega, basi mimi hapana, siko huko! anionee huruma, coz mateso ninayopata, kila siku nakuwa wa kwanza kusepa ofisini na wa mwisho kuingia, na hii inanipunguzia ufanisi kazini! Nambieni nitumie njia gani ili nimrekebishe na turudi ktk undugu wetu kama zamani, nia yangu ujumbe umfikie japo naogopa mashushu ya bimdada! Msaada jamani!


slim5 Kama unaogopa kumpa makavu LIVE, msifie sana mkeo mbele zake, uku ukionesha huwezi kumsaliti mkeo hata kidogo, somo litamuingia
 
Mkuu unataka kumshauri yeye ama mimi, eye to eye?

wewe slim5 inaonekana hauna shida kabisa!! kwa jinsi nilivyoona kwenye darubini yangu..

tatizo ni huyo dada, nahitaji namba yake ya simu.. ni-PM fasta namba yake!
 
Last edited by a moderator:
Mpe haki yake mkuu usimtese kihivyo! mpe huduma heavy mara moja tu kujenga heshima yako unless atakuona mbulumundu!
Watoto wa Singida ndo walivyo hao, utulivu kwao mwiko.
 
Hp ofsn kwt kila kona wamebandika zi tke postures za utumishi wa umma khs mavazi, na maboss wetu ndio wa kwnz kuzipuuza
 
Mimba itakuwa ya nani?

Mkuu unachoogopa ni mimba itakua ya nani au hautaki michepuko..! Na hayo unayosema ni unahisi tu ebu tafuta kwaza ukweli na ukishajua anachotaka hasa nini ndio nafasi ya ww kumpa ukweli..! Coz hata vimin na chahandu huna uhakika kama ankuvalia ww.
 
Nsuri mkuu, hy dada nipo nae ofisi 1, namaanishsa tunashare office key huu mwk wa 3, kweli hapo nina kosa kumzoea! Hv Nsuri unafanyaje ucmzoee mtu hy?
 
Ennie hapana bhana, sijakolea! Nimemleta yf ofsn mr kadhaa nikiamini itasaidia, wp!
 
Back
Top Bottom